Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Msuya Lowassa afukuzwe tu aende CHADEMA potelea mbali Makonda Lowassa hawezi kuwa mkuu majeshi Viongozi wa dini msichague mtu anaenunua uongozi Kingunge CCM hamna msafi Sasa tushike lipi mbona CCM mnatuchanganya?
Na mtavurugwa sana tu. Hii ndo maana halisi ya siasa yaani piga nikupge.
 
Amerudi na nguvu yake ya mwaka 1995, EDWARD LOWASSA muasisi wa shule za kata, wapinzani wanamuogopa sana na CCM wanampinga kwa sababu huyu jamaa akipita baadae atawageuka nanukuu kauli yake ""HII NCHI IMEKOSA KIONGOZ WAKUFANYA MAAMUZI MAGUMU""
 
Ungewasaidia wanaomugopa (kama wapo) kwa wewe kuweka sababu za wao kumpenda!!!
 
Were ndo unamwogopa ila kwa wengine wao si kwamba wanamwogopa Bali hatumpendi kwa matendo Yake ya kinyama
 
Mi sijajua labda mniambie utajiri mkubwa alionao unaompa mabilioni ya pesa anazotoa kuchangia makanisa, misikiti & taasisi mara kwa mara anatoa wapi au anaomba wapi au ni miradi??

Maana asijekuwa anapewa ili akipata kiti kwa jasho la watz wote hadi ambao hatukufaidika tulipe mara elfu ya kilichotolewa..
 
Mi sijajua labda mniambie utajiri mkubwa alionao unaompa mabilioni ya pesa anazotoa kuchangia makanisa, misikiti & taasisi mara kwa mara anatoa wapi au anaomba wapi au ni miradi??

Maana asijekuwa anapewa ili akipata kiti kwa jasho la watz wote hadi ambao hatukufaidika tulipe mara elfu ya kilichotolewa..

Huyu jamaa atakuwa anaiba Tanzanite ukizingatia IPO jikoni kwake ndo maana anagawa sana pesa make zingine zinanuka damu
 
Ni wazi kwamba uongozi na wanaoutamani uraisi ndani ya CCM nguvu zote wameelekeza kwa mtu mmoja tu nae ni Lowassa. Huku akina January Makamba na Mwigulu wakiwa tayari wameanza kampeni kwa njia mbalimbali na uongozi wa chama ukijivika uki
pofu na ukiziwi wa mchana kweupe!! Mimi najiuliza hivi kwa kuwa Mh. Lowassa hakuna sehemu au mahala ashawatangazia Watanzania kwa ujumla dhamira ya uraisi, je akitamka sasa anautaka uraisi kama January Makamba anavyofanya itakuwaje?
 
Suala la nani apate nafasi ya kugombea urais ndani ya CCM na nani atoshwe!! hili lazima litakilaza chama chetu mahali pema peponi.

EL hawezi kukubali kutoshwa wakati amewekeza na amekuwa mstari wa mbele kukitetea chama hiki kwa nguvu zake zote.

Ngoma inogile mtaa wa saba - adui yako muombee njaa!!!
 
Kwa mtizamo wangu mimi ninaweza kuwaanisha waliotangaza nia katika makundi matatu:
1. wenye nia dhabiti ambao ni mh. lowassa,mh.membe, na mh.waziri mkuu( The premier)
2. wapambe wa wagombea hao hapo juu ...
3. watangaza nia wa 2025.

wengi wa walio tangaza nia watakuja kumerge na kumsuport mgombea mmoja, na inaweza kuwa ni silaha itakayotumiwa na wale wasio mtaka mgombea fulani ... hivyo ... nendeni mkatangaze nia ili kuwagawa wafuasi wa yule asiyetakiwa na siku ya siku ikifika mseme mimi najiotoa na ninaomba wanaoniunga mkono tumpigie kura ndugu ...

wengine ni wale wanataka wasikose uwaziri ... yaani waonekane ni obvious choice kwa uwaziri kwa whoever ataingia madarakani ...

na kwa mtizamo wangu siasa za bongo zimeanza kuwa za kikanda ... angalia waliotangaza nia na kanda wanazo toka ... siku ya siku itakuwa ni vita kati ya kundi A vs kundi B...


Haya wote kila laheri ... but play safe ...

.... not sure if i am within the scope of the thread yet...
 
Suala la nani apate nafasi ya kugombea urais ndani ya CCM na nani atoshwe!! hili lazima litakilaza chama chetu mahali pema peponi.

EL hawezi kukubali kutoshwa wakati amewekeza na amekuwa mstari wa mbele kukitetea chama hiki kwa nguvu zake zote.

Ngoma inogile mtaa wa saba - adui yako muombee njaa!!!

Umechangia kwa werevu mkubwa sana. Hadi sasa njia salama ya kukinusuru hiki chama ni kuwaacha wanachama waamue na si vipingamizi vya maadili ambapo kuna waliovuka mipaka kuliko hata Lowassa. Hebu angalia hicho kitabu cha kijana mwezetu January,lengo kuu ni kujikapenia tu basi.
 
Back
Top Bottom