Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
Bado wassiraeti mwigulu naye awe rais!
Bado wassiraeti mwigulu naye awe rais!
Raisi wa monduli labda.Ni wazi kwamba uongozi na wanaoutamani uraisi ndani ya CCM nguvu zote wameelekeza kwa mtu mmoja tu nae ni Lowassa. Huku akina January Makamba na Mwigulu wakiwa tayari wameanza kampeni kwa njia mbalimbali na uongozi wa chama ukijivika uki
pofu na ukiziwi wa mchana kweupe!! Mimi najiuliza hivi kwa kuwa Mh. Lowassa hakuna sehemu au mahala ashawatangazia Watanzania kwa ujumla dhamira ya uraisi, je akitamka sasa anautaka uraisi kama January Makamba anavyofanya itakuwaje?
Umechangia kwa werevu mkubwa sana. Hadi sasa njia salama ya kukinusuru hiki chama ni kuwaacha wanachama waamue na si vipingamizi vya maadili ambapo kuna waliovuka mipaka kuliko hata Lowassa. Hebu angalia hicho kitabu cha kijana mwezetu January,lengo kuu ni kujikapenia tu basi.
kwani hawezi?
Raisi wa monduli labda.
wake zake na LOWASSA ndo mnamwabudu huyo Mume wenu kwa pesa zake
kwani hawezi?
Upo nchi gani? sasa hivi kuna wagonjwa wamelazwa kule mpaka wa upasuaji.Ikulu hakuna wodi ya wagonjwa
Nimeipata hii kuwa nec.inampango wa kumsimamisha dr.shein na mgombea mwenza atakuwa no lowassa katika kinyang'nyiro ya kiti cha urais wa Tanzania.hii ni kudhibiti makundi na mgawanyiko ndani ya chama hicho ambayo kwa sasa hivi iko taabani.hii inatokana na mgawanyiko na makundi yalioko kwenye chama kwa sasa.nawasilisha muweze kujua hili
kama lowassa anaweza kuwa makamu wa rais basi shein endapo atabahatika kuwa rais atakufa ndani ya miezi sita na lowassa anaapishwa kuwa rais..mafioso
lowassa anaweza hatuna wasi nae
Haujambo Mtende. Anaweza nini kwani EL??!!