Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,335
Haujambo Mtende. Anaweza nini kwani EL??!!
anaweza kua rais?kwai mada zungumzwa hapo juu inasemaje?
sijambo shika moooooooo, wewe je hujambo?
Haujambo Mtende. Anaweza nini kwani EL??!!
Mwislamu tena!! Hiyo haipo mzee, na wakifanya hivyo wajue UKAWA njia nyeupe..
afadhali apewe, maana kwa miaka 9 sasa nchi ipo auto pilot! hakuna wa kuamua jambo! kila mtu analalamika! bora aje atuibie lakini awe na maamuzi endelevu!
ccm hawamuwezi lowassa,wakimkataa kwenye maoni na sisiemu inakufa kifo cha mende.
Kwa lipi la maana alilolifanya Lowassa hadi apewe nchi?
Kuna sababu nyingi za kusema Lowassa hafai kuwa rais wa nchi hii licha ya kuwa mgonjwa wa macho na mgongo pia ni mmoja wa watu 11 waliotajwa kuwa ni mafisadi.
Amefanya nini la maana hadi tumpe nchi? Unamkumbuka kwa lipi zaidi ya kujiuzulu?
Pesa zake sio tiketi kuwepo ulazima wa kuingia ikulu. Kama anatafuta umaarufu,umaarufu sio kwa mazuri tu hata ufisadi na kujiuzulu napo aljulikana ndani na nje ya nchi.
Sababu zipi za kunishawishi kumpigia kura Lowassa awe Rais wa awamu ya tano?
mzee warioba ameshatufunguwa macho kuwa wanaozunguka ni sawa na watoto waliyo tangulia sokoni bila pesa wakati baba amebaki nyumbani na pesa za kununulia vitu sokoni!!!
january na february wametangulia tu sokoni hawana pesa za kwenda kununulia vitu hko!!!
Mwislamu tena!! Hiyo haipo mzee, na wakifanya hivyo wajue UKAWA njia nyeupe..
hatuwez kumchagua mtu ambae yupo kwenye LIST OF SHAME.
Mbona hata MBOOwe na SI LAHA wapo kwenye hiyo list
Nani anamwogopa loa hasa???
Labda kwa kuwa ukikaa nae anakuibia
Tangu nimemfahamu Mh.Edward Lowassa moja kati ya mambo mengi mazuri alonayo ya kufanyika mfano wa kujifunza na kuigwa ni NAMNA ANAVYOENDESHA SIASA ZAKE.
Kusema ukweli Eddo ni Kiongozi Imara sana:-
1.NI MVUMILIVU;Mtu ajuaye kuhimili mikiki mikiki ya washindani na wabaya wake pia.
2.NI MAKINI NA ANAONA MBALI JUU YA HATIMA YA YAKE NA TAIFA LETU;Lowassa utamnena kwa ubaya na uongo lakini kamwe hutamtoa kwenye track ya Maono yake si MROPOKAJI 100%.
3.ANAO UWEZO KUANZA JAMBO,KULISIMAMIA NA KULIKAMILISHA.
Mf.Mradi wa maji kuyatoa Ziwa Victoria hadi Shinyanga,alituambua wajibu wake kwa Taifa,Haki ya kuyatumia maji ya Ziwa Victoria kwa Taifa letu,aliweza kuwakabili wa-Misri bila woga wala kuchekacheka.
4.MTU WA KUFANYA MAAMUZI MAZURI NA MAGUMU:-
Akiwa Waziri Mkuu kulikuwa na nidhamu ya hali ya juu kwa Wafanyakazi wote kuwahi kazini na kufanya kazi kwa bidii bila ya kupiga story maofisini ama kutoroka kazini.
Kuna wimbi kubwa la Viongozi siku za leo hasa ndani yaY CHAMA CHA MAPINDUZI ambao wana utaka Urais huko hata zile Wizara zimewashinda kuzisimamia ili kuleta ustawi kwa Taifa.
Jifunzeni kwa Lowassa anapendwa na kutajwa kwenye vinywa vya Wananchi wengi kuwa anastahili AWE RAIS AJAYE NI KWA SABABU YA SIFA ZAKE NA KAZI ZAKE.
MPAKA TULIPOFIKA KWA WANAOWANIA WADHIFA HUU WA URAIS,EDWARD NGOYAI LOWASSA NI MFANO MZURI WA KUIGWA KWA WATAKA URAIS WOOOTE.
Asanteni kunisoma na kunielewa.