Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Mbona watabiri wawili wametabiri kuwa atafia jukwaani mwaka huu?
Nitishio kwa sasa....
ujinga wenu ndo mtaji wa ccm, labda akawe raisi wa wamasai
ww ukawa huna lolote
kutwa kulala unashindia unalalia mitandaoni eti kumpigia kampeni fisadi, anakulipa bei gani. Kama huna kazi nenda kijijini kalime.
Hii nchi ina viajana wengi wasiojitambua hasa wa ccm
na mimi ntajiunga nipige hela.. laki tano sio mchezo.. na usipopiga hela mwaka huu basi hutokaa upige hela tena
Jamaa mgonjwa mwangalie akiongea, midomo inapishana
Ndio, wananchi tunamkubali tena sana, lakini je CCM itampitisha kuwa mgombea wa urais?
Kipenzi cha upinzani?Upinzani gani?
Labda ACT