OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Jk anamuhofia lowassa SNA,lakini wala lowssa wala hana mapngo wa kulipiza kisasi kwasabu anamfahm rafik take tokea wakiwa jeshini kuwa hana msimamo,kwahyo amezoeya haimpi presha
msaka tonge tu huyo kwan hata kikwete tulikuwa tuna mkubali mwisho wa movie majanga
Lowassa ile Ni namba nyingine,sisiemu hawalali wanamuota Tu lowassa,lowasa atakuwa raid WA nchi aidha kupitia ccm au ukawa
Labda mafusadi wenzakeLowassa anahitajika na wananchi WA tz
Lowassa ile Ni namba nyingine,sisiemu hawalali wanamuota Tu lowassa,lowasa atakuwa raid WA nchi aidha kupitia ccm au ukawa
Lowassa anahitajika na wananchi WA tz
Jk anamuhofia lowassa SNA,lakini wala lowssa wala hana mapngo wa kulipiza kisasi kwasabu anamfahm rafik take tokea wakiwa jeshini kuwa hana msimamo,kwahyo amezoeya haimpi presha
Hatutamchagua rais kwa kuangalia dini yake-Nyereretuñaka rais ajaye awe mkatoliki lowasa kigezo hicho hana,na àkiwa muislam awe bakwata
pinda o membe ndo nec watampitisha
sawa dada tumekusikia ila huyu jamaa mgonjwa mgonjwa sijui kama kazi ataiweza