Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

Kuna topic hapa Mzee msuya tena kada wa ccm mzoefu ameshauri afukuzwe kwenye chama
 
Mmechukua hatua zipi kwa utabiri wa Jini ?

Mshaurini sasa Lowasa aache kwenda kwa mtabiri TB Joshua kama anataka urais!
 
Hivi kuanzisha uzi wa kumsifia lowassa mtu unalipwa sh ngapi? Maana nimefulia kweli kweli ukidhingatia huu mwezi ni wa ada
 
Mgombea urais 2015 mbadala wa Lowasa ni nani ndani ya pakacha la CCM ?
Mimi natafuta mwingine wa kumpigia debe media !
 
The only leverage ccm has as far as retaining presidential post is concerned
 
No way out nchi ilipo kwa sasa tunamuhitaji huyu mtu kuliko maelezo. Lowassa for presidency 201Chelsea..!

[Aliyewahi kuwa waziri mkuu Cleopa Msuya kavunja ukimya na kusema anayepita kila mahali na kugawa Pesa ili achaguliwe au apitishwe kuwa mgombea kwenye chama cha CCM lazima adhibitiwe ikibidi afukuzwe mara moja uanachama. Potelea mbali hata akihamia CHADEMA na kundi lake linalopita kugawa Pesa kila mahali. Msuya amenukuliwa na gazeti la leo la RAIA TANZANIA.

Swali; jamaa huyu ana kitu gani hasa maana anaonekana kuwa juu ya chama hiki, ni maneno tu miaka mingi anatuhumiwa kufanya hivyo lakini hatua madhubuti zimeshindwa kabisa ndani ya chama. Au ndo kusema hata wanaomnyoshea kidole ni mafisadi, lakini ufisadi wao wanaufanya kulingana na eneo na uwezo wao kifedha
 
Lowassa mwizi mgonjwa fisadi mtoa rushwa hafai kuwa kiongozi.
 
msaka tonge tu huyo kwan hata kikwete tulikuwa tuna mkubali mwisho wa movie majanga
 
Tukianza kuangalia historia ya JK kuingia madarakani mwaka 2005 hapa ndio ulipokuwa mwanzo wa CCM kufa kwa sababu hapa ndio rushwa ilivunja rekodi kwa kuweka wasio wasafi madarakani na ni katika kipindi hicho hawa wote wanaopiga kelele za ufisadi walikuwa kitu kimoja mfano Sitta,Membe na wengine wengi tu iweje leo wapige kelele ya kwamba Lowassa fisadi?

Huu ni unafiki mkubwa kabisa na kwa CCM rushwa ni moja ya sera zake sasa leo hii mtu yuko ndani ya CCM anapiga kelele za ufisadi huyo ni muongo tu.

Kwa sasa mafisadi ndio wanaoindesha CCM na ndio wenye final say ndani ya CCM hata m/kiti anajua hilo na hata Mangula alitoa ahadi baada ya miezi sita atatimua mafisadi lakini wapi na unaposema unatoa mafisadi ina maana umeua chama.

Lowassa kuingia ikulu inawezekana kwa sababu mazingira ameshayaandaa muda mrefu, amejenga mtandao wa kuaminika na anachosubiri ni kuteuliwa na chama tu hilo halina ubishi.Kwa sababu yeye na marafiki zake ndio wanaoiongoza CCM kwa sasa.

Kwa hili hata Kikwete limemtia presha na ndio maana kulikuwa na mipango ya kumuweka Pinda ili alinde uchafu wa Kikwete na wapambe wake kwa sababu kimtazamo wao wana hofu kwamba Lowassa akiingia madarakani atawafanya nini na wakati wa Richmond walikula wote.

Tusiwe wasahaulifu ndugu zangu kwa yaliyotokea Igunga,walidai Rostam hafai lakini baadae wakampigia magoti na yeye kweli akagharamia helicopta kwenye uchaguzi ule.

Kumtimua Lowassa toka CCM hatuwezi na tukiweza tumeua chama.


Mwana-CCM kindakindaki
 
HUyu Jamaa lazima urafiki wake na Rostam Azizi umulikwe. Asijekuwa mpenzi wa Taifa la Iran.
 
Hela zinatoaga watu ufahamu kabisa. Yaani nchi hakuna mwenye hata ka upeo ka kujali maslahi ya nchi wanajiwaza wao na makundi yao ya kihuni tu
 
Mtu alieshindwa kuizuia Richmond kuingia mkataba fake eti leo ni tumaini. Pyuuuuuuuuu!!!!
 
Back
Top Bottom