Kwa kupunguza mishahara ya madaktari wa Bugando, wakazi wa kanda ya ziwa tumekwisha

mkuu ulichoadika ni ukweli mtupu kupunguza mishahara na haya maisha ni kuharibu utendaji kazi
 
mkuu ulichoadika ni ukweli mtupu kupunguza mishahara na haya maisha ni kuharibu utendaji kazi
Kweli kabisa,marais wote walisifika kwa kuongeza mishahara,kama sehemu nyingine mishahara yao iko chini ni bora uiongeze ifanane na wa bugando,yaani wa chini apande juu,sio wa juu umshushe ili awe masikini halafu ujisifu umeboresha kitu
 
Naomba Sana Watanzania Mniombee
Ili Ninapofanya Maamuzi Asiwepo Wa Kunikwamisha
By Jpm
 
Kuna watumishi mwezi wa tatu na wanne walipandishiwa mishahara mwezi wa 5 wakashushwa tena et tunahakiki wafanyakazi hewa hii sio haki kabisaa
 
Kweli kabisa,marais wote walisifika kwa kuongeza mishahara,kama sehemu nyingine mishahara yao iko chini ni bora uiongeze ifanane na wa bugando,yaani wa chini apande juu,sio wa juu umshushe ili awe masikini halafu ujisifu umeboresha kitu
Mnachangia bila kusoma madaktari wa Bugando wamekuwa wakilipwa zaidi ya wengine na hilo ndio kosa lililo fanyika...Hivi siku wengine wakigoma kuhitaji ongezeko kama bugando itakuwaje? Hapa tunaongelea mshahara si posho...maana posho ni kweli lazima watofautiane.

Na ninaomba Moderator Invisible Mhariri Mod 6 Paw mbadilishe kichwa cha habari kiwe serikali yatoa ufafanuzi kuhusu taarifa za madaktari kukatwa mishahara na kukatwa posho..
mkuu ulichoadika ni ukweli mtupu kupunguza mishahara na haya maisha ni kuharibu utendaji kazi
 
Kumbe unatuletea habari ya uvumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…