Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 6,458
- 8,796
Endelea kujidanganya mkuuSamia na kagenge kake hawana hizo nguvu unazofikiria, 29 ni mwanzo tuu
Endelea kujidanganya mkuuSamia na kagenge kake hawana hizo nguvu unazofikiria, 29 ni mwanzo tuu
HahahaaMimi nitashiriki maandamano ili nije kuwasumbua wajukuu zangu tu kuwa mnaona hizi picture,kunakipindi Taifa lilivamiwa na wahuni then vijana wakitaa tukasimamia show hadi tukamkimbizia uhamiahoni Rais aliyekuwa akiongoza kwa mkono wa chuma wa wakati huo , alikuwa MLA urojo mmoja hivii 🤣🤣
Ila wazee tukifanikiwa kutoka salama hapa , wakike tena wa kutoka ng'ambo tusije kuthubutu kujaribu tena mamamamaaaeee,dah! Katunyorosha ile kim_aku dadadeeki