Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 1,944
- 3,090
Leo mida ya saa nne asubuhi nilipitia mahali fulani ,kimsingi mshua alikuwa mkufunzi pale since long time ago so namimi design kama mwanafamily hivii.
Kwakua umepita muda sana bila kuonana nao ,kimsingi sikua kule kitambo kidogo so washkaji wakawa wamehamasika sana walivyoniona tulitoka na kwenda mahali kula na kubadilishana uzowefu .
Nje ya mijadala yetu leo ilikuwa ni kama siku ya jamaa kuconfirm ,kila mmoja alikuwa busy sana kuhusu tukio la 29_10 .
Kanuni ni ile ile Italy (wanaoelewa wataelewa)
jamaa walikuwa wanauziana code kimafia sana ,Ngoma hapo ni vipi pale plus huku na kule ,majibu ni No za kati tu ya vikosi ,idadi ya ma captain na uelekeo wao kwa mtindo wa 123 ikiwekwa Green White Red imeisha hiyo equal to Italy , wagumu kufungua code Ngoma hapo ni Roma shusha Bunduki
So ukiambiwa green white and red jua mkuu wa kikosi tajwa ni upande wa wala ugali .
Wazee Maza hana safari , sijui nini kitakachotokea ila tuliombee Taifa .
Maza kwanini asikubali tu ,maana naona dah! , kilichoniogopesha ni wale ambao hawatakuwa makazini nao wameapa kuwa watakuwa kwenye disco vumbi aisee
Binafsi sikutarajia
Kwakua umepita muda sana bila kuonana nao ,kimsingi sikua kule kitambo kidogo so washkaji wakawa wamehamasika sana walivyoniona tulitoka na kwenda mahali kula na kubadilishana uzowefu .
Nje ya mijadala yetu leo ilikuwa ni kama siku ya jamaa kuconfirm ,kila mmoja alikuwa busy sana kuhusu tukio la 29_10 .
Kanuni ni ile ile Italy (wanaoelewa wataelewa)
jamaa walikuwa wanauziana code kimafia sana ,Ngoma hapo ni vipi pale plus huku na kule ,majibu ni No za kati tu ya vikosi ,idadi ya ma captain na uelekeo wao kwa mtindo wa 123 ikiwekwa Green White Red imeisha hiyo equal to Italy , wagumu kufungua code Ngoma hapo ni Roma shusha Bunduki
So ukiambiwa green white and red jua mkuu wa kikosi tajwa ni upande wa wala ugali .
Wazee Maza hana safari , sijui nini kitakachotokea ila tuliombee Taifa .
Maza kwanini asikubali tu ,maana naona dah! , kilichoniogopesha ni wale ambao hawatakuwa makazini nao wameapa kuwa watakuwa kwenye disco vumbi aisee
Binafsi sikutarajia