Uchaguzi 2020 Kwa kilichotokea kwenye ufunguzi wa kampeni za CHADEMA, bado naamini Rais ni Magufuli tu

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,601
Kampeni zikiwa zimeanza rasmi na baadhi ya vyama kufungua kampeni zao kwa mbwembwe na kwa kujiamini bila kujua walichofanya ni sawa na sifuri kwetu wapiga kura.

Pengine, walitarajia ufunguzi wa kishindo wenye kila hamasa za kuamsha hisia, matokeo yake ni aibu kubwa sana. Mwitikio hasi, furaha hakuna, hofu ya kuchangishwa , hofu ya kufukuzwa kama TBC ndio vilitawala siku ya kwanza ya ufunguzi kampeni za CHADEMA.

Naamini CHADEMA ni chama kikubwa na walichopata sicho walichotegemea na hilo linatoa picha ya anguko lao hapo Oktoba 28. Anguko litakalotokana na kujiamini kupita kiasi na kutojua nini watanzania wanataka.

Miaka mitano ya Rais Magufuli hakika tumepata tunachopata kuanzia kwenye miundombinu, uchumi , maendeleo , elimu bila malipo. Ni historia pekee itakayomkumbuka Magufuli pale kizazi hiki kinachoshuhudia juhudi, falsafa na misimamamo yake pale kitakapopotea lakini watanzania hawataiacha historia imkumbuke pekee bali tutahahakikisha tumpatia kile anachostahili kwenye uchaguzi huu nacho ni USHINDI WA KISHINDO.

Mpaka ufunguzi wa kampeni zao unaisha, CHADEMA watakuwa wamejua Rais atakuwa nani kutokana na mwitikio wa watu tena kwenye jiji lenye wapigakura zaidi ya asilimia 13 lakini hawatakubali kukiri mpaka washuhudie anguko lao wenyewe.

Rais ni mmoja tu 2020-2025 naye ni Magufuli, kiongozi kutoka kwenye chama kinachojali watu na hali zao na kuwa pamoja na watu kwenye matatizo yao.
 
Leo wewe si ndio unafungua kampeni rasmi pale Dom, subiri uone mwitikio wenu kidha urudi hapa, zaidi zsidi watu watakwenda kuona wasanii!
 
This?
IMG-20200828-WA0033.jpg
 
Magufuli ni rais wa kupita bila kupingwa pamoja na team yake. Suluba za sanduku la kura hawaziwezi.
 
Sasa hivi hakuna sera nzuri kwa Watanzania kama kuanika udicteta.
Magufuli ana Dola , jeshi ,usalama wa taifa ,magereza ,mapolisi na tume ya taifa.
Na so far ameatumia kikamilifu.
Ameweza kuengeua wagimbea ubunge 100 wa upinzami.
Ameungua madiwani 2500 wa upinzani.
Hivo hakuna uchaguzi tena ni fursa ya kuanika ubaya wake.
Huk Zanzibar kati ya wabunge 50 wa majimbo ya huko chama kikuu cha upinzani Act Wazalendo wame enguliwa 47 !
Hivo kimebaki na wagombea 3 tu.
Hizi sio kampeni za uchaguzi tena.
Mwelekeo umebadilika ni miezi miwili ya kudai tume huru
 
Mwingine waliyemkaririsha maneno ili kuwadhalilisha wanawake huyu hapa.



Wahuni wamemkaririsha bibi maneno na pengine wamempatia pesa ili azungumze hayo. Hakuna mzee wa kuiongelea CCM kwa namna hiyo hususani kwa aliyofanya Rais Magufuli
 
Kampeni zikiwa zimeanza rasmi na baadhi ya vyama kufungua kampeni zao kwa mbwembwe na kwa kujiamini bila kujua walichofanya ni sawa na sifuri kwetu wapiga kura.

Pengine, walitarajia ufunguzi wa kishindo wenye kila hamasa za kuamsha hisia, matokeo yake ni aibu kubwa sana. Mwitikio hasi, furaha hakuna, hofu ya kuchangishwa , hofu ya kufukuzwa kama TBC ndio vilitawala siku ya kwanza ya ufunguzi kampeni za CHADEMA.

Naamini CHADEMA ni chama kikubwa na walichopata sicho walichotegemea na hilo linatoa picha ya anguko lao hapo Oktoba 28. Anguko litakalotokana na kujiamini kupita kiasi na kutojua nini watanzania wanataka.

Miaka mitano ya Rais Magufuli hakika tumepata tunachopata kuanzia kwenye miundombinu, uchumi , maendeleo , elimu bila malipo. Ni historia pekee itakayomkumbuka Magufuli pale kizazi hiki kinachoshuhudia juhudi, falsafa na misimamamo yake pale kitakapopotea lakini watanzania hawataiacha historia imkumbuke pekee bali tutahahakikisha tumpatia kile anachostahili kwenye uchaguzi huu nacho ni USHINDI WA KISHINDO.

Mpaka ufunguzi wa kampeni zao unaisha, CHADEMA watakuwa wamejua Rais atakuwa nani kutokana na mwitikio wa watu tena kwenye jiji lenye wapigakura zaidi ya asilimia 13 lakini hawatakubali kukiri mpaka washuhudie anguko lao wenyewe.

Rais ni mmoja tu 2020-2025 naye ni Magufuli, kiongozi kutoka kwenye chama kinachojali watu na hali zao na kuwa pamoja na watu kwenye matatizo yao.
Kama kawaida ya bao la mkono bila hivyo ccm hawajashinda uchaguzi wowote nchi hii.
 


BRAZA NA USOMI WAKO UNAWEKA CLIP YA MWAKA 47, ENZI YA JPM IS ANOTHER , UMEJIDHALILISHA NA UMEIDHALILISHA TAALUMA YAKO.. POLE SANA KAKA. HATA KIPOFU AKIIONA POST YAKO HII, ATAKUSIKITIKIA,,,POLE NA PLOE SANA.
 
Acha UZWAZWA!!

[ QUOTE="ismailjf, post: 36517272, member: 50571"]
BRAZA NA USOMI WAKO UNAWEKA CLIP YA MWAKA 47, ENZI YA JPM IS ANOTHER , UMEJIDHALILISHA NA UMEIDHALILISHA TAALUMA YAKO.. POLE SANA KAKA. HATA KIPOFU AKIIONA POST YAKO HII, ATAKUSIKITIKIA,,,POLE NA PLOE SANA.
[/QUOTE]
 
Hata hao wachache walioguswa wakajitokeza nasikia wameambulia kupigwa sire.. Kwa njaa ya kiwango hiki chadema hamtaweza kuzunguka mchi nzima. Mngeweza kutumia Tv na Redio ila kwa mlichowafanyia Tbc ni funzo kubwa kwa Tv zingine, wakiwaunga mkono Tbc msilaumu
 
Back
Top Bottom