Kwa Kiingelesa inaitwaje hii ??

Kwa Kiingelesa inaitwaje hii ??

Huku ndio nyumbani mambo ya kabumbu siku hizi nitaacha maana matanga yamezidi kwa bandugu wa Chelsick na uhuru wa habari unaminywaminywa chacha bora kurudi alifu.

BTW chichi ndio waasisi wenyewe ati .... .... .

habari ya wewe naona manati umeimisi balaa...
 
Hivi KIINGELESA, ni lugha ya kabila gani vile!!!?
 
Highlander, nadhani ukifupisha itakuwa siyo maana yake halisi kisawasawa. Kumbuka Sun na Sungoogles ni vitu viwili tofauti!


Asante sana kwa mchango wako Mkuu Makanyaga. Nimefanya ka-reference kidogo na kujiridhisha kuwa jina sahihi la MANATI katika Lugha ya kiingereza ni SLING.

Hata hivyo maneno haya yote mawili--yaani Hilo SLING na SLINGSHOT yote yanaweza kutumika kwa maana hiyo hiyo kwa kuwa SLING ndiyo haswaa jina lenyewe la Manati, lakini kwamba SLINGSHOT ni neno ya Mtaani, au "colloquialism."

Mtu atasema: "Hebu" soma hapa chini, Mwingine atasema "em" soma hapa chini, na mwingine akasema "embu" soma hapa chini na wote watatu wakaeleweka wamesema kitu kilekile: Embu sasa Naomba nikupe kiambatanisho hapa chini kwa ajili ya kukazia somo:


Sling Reply-1.jpg
 
Asante sana kwa mchango wako Mkuu Makanyaga. Nimefanya ka-reference kidogo na kujiridhisha kuwa jina sahihi la MANATI katika Lugha ya kiingereza ni SLING.

Hata hivyo maneno haya yote mawili--yaani Hilo SLING na SLINGSHOT yote yanaweza kutumika kwa maana hiyo hiyo kwa kuwa SLING ndiyo haswaa jina lenyewe la Manati, lakini kwamba SLINGSHOT ni neno ya Mtaani, au "colloquialism."

Mtu atasema: "Hebu" soma hapa chini, Mwingine atasema "em" soma hapa chini, na mwingine akasema "embu" soma hapa chini na wote watatu wakaeleweka wamesema kitu kilekile: Embu sasa Naomba nikupe kiambatanisho hapa chini kwa ajili ya kukazia somo:


View attachment 82055

Highlander;
Asante kwa maelezo yako. Mimi mwenyewe hasa nilikuwa hata sijui inaitwaje, ila nilikuwa najaribu tu kuchokonoa ili niwe na uhakika neno sahihi ni lipi hasa kati ya hayo mawili. Umetoa ufafanuzi mzuri ambao umesaidia kupata uhakika kuwa haya maneno mawili yote yako at pa. Asante sana kwa maelezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom