DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Jussa ,lusinde na magufuli mzee wa mbizi waombe radhi kwanza.waachwa fisadi riz na kina maige,nyalandu ngeleja kupelekwa kortini ,maneno mepesi ya nasary yafatiliwe?ajabu.ASIYE NA KOSA AWE WA KWANZA KUMNYOOSHEA KIDOLE NASSARY.