Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,262
- 105,425
Kwamba CHADEMA imempitisha mtu aliyeweza kutoa kauli hizi za kukitia aibu mapema hivi baada ya kuchaguliwa, inaonyesha CHADEMA kisivyo makini katika kuchuja wagombea ili kupata wagombea walioiva kisiasa.
Huyu mbunge si kaapishwa kiapo cha uaminifu kwa Jamhuri? Ina maana alivyoapa pale alikuwa anafanya mzaha au?
Na CHADEMA wanaposema "ni kauli za kitoto tu" wana maana siku hizi wanapitisha watoto au watu wenye kauli za kitoto kugombea ubunge?
Huyu mbunge si kaapishwa kiapo cha uaminifu kwa Jamhuri? Ina maana alivyoapa pale alikuwa anafanya mzaha au?
Na CHADEMA wanaposema "ni kauli za kitoto tu" wana maana siku hizi wanapitisha watoto au watu wenye kauli za kitoto kugombea ubunge?