johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Hii sera ya Majimbo tunaiponda tu lakini ina faida sana kwenye Ulimwengu wa leo.
Naipitia sera ya Majimbo ya CHADEMA kwa sintofahamu kama hii ya DP World Dubai, kwa mfano sisi Kanda ya Nyasa tungeamua kivyetu juu ya Ziwa Nyasa.
Ujue kwenye Muungano Zanzibar ni kama Jimbo " fulani" hivi linalojiamulia mambo yake lenyewe kule SMZ na BLW.
Ahsanteni sana!
Naipitia sera ya Majimbo ya CHADEMA kwa sintofahamu kama hii ya DP World Dubai, kwa mfano sisi Kanda ya Nyasa tungeamua kivyetu juu ya Ziwa Nyasa.
Ujue kwenye Muungano Zanzibar ni kama Jimbo " fulani" hivi linalojiamulia mambo yake lenyewe kule SMZ na BLW.
Ahsanteni sana!