GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,649
- 109,040
"Baada ya Juzi Wachimbaji hawa Kuingia Chini Shimoni walikuta Madini ya Dhahabu ila kukaonekana kuwa hali ya Kule chini Kimazingira haikuwa Salama hivyo walivyopanda Juu na. Kuielezea kwa Wataalamu na Viongozi ilishauriwa wasubirie Kwanza ili Kuwatengenezea Mazingira mazuri ya Kiusalama Kwao kama Wakienda tena baadae na kukawekwa Askari wa Kulinda hilo Shimo na Eneo ila cha Kushangaza na Kusikitisha muda wa Usiku baada ya Askari hao kutoka hapo kurejea Makwao hawa Wachimbaji walikuja Kimya Kimya na Kuamua Kuingia huko Shimoni hatimaye wakakutwa na kilichowakuta na leo tunawaomboleza" amesema RC wa Simiyu.
Chanzo: U-FM Radio Asubuhi leo.
Hakuna ambaye hajui kuwa kwa sasa Maisha ni Magumu na huenda hata Mimi GENTAMYCINE nikawa na Maisha Magumu kuliko Wengine wanaojinasibu kila Siku ila hakuna Kitu ambacho nakiheshimu na nakifanya kila Uchao kama kuwa Makini na kufuata miongozo ya Kitaalamu na kutoka kwa Watalaamu.
Uhai na Usalama wangu ni muhimu kuliko Shida zangu nyingi na Tukuka za Kimaisha nilizonazo.
Yaani Ufe Kizembe halafu nikulilie? Thubutu na huyo siyo GENTAMYCINE labda Bujibuji Simba Nyamaume ndiyo anaweza kuwa na Huruma hiyo ya Kinafiki.
Maziko mema kwa Waliojitakia.
Chanzo: U-FM Radio Asubuhi leo.
Hakuna ambaye hajui kuwa kwa sasa Maisha ni Magumu na huenda hata Mimi GENTAMYCINE nikawa na Maisha Magumu kuliko Wengine wanaojinasibu kila Siku ila hakuna Kitu ambacho nakiheshimu na nakifanya kila Uchao kama kuwa Makini na kufuata miongozo ya Kitaalamu na kutoka kwa Watalaamu.
Uhai na Usalama wangu ni muhimu kuliko Shida zangu nyingi na Tukuka za Kimaisha nilizonazo.
Yaani Ufe Kizembe halafu nikulilie? Thubutu na huyo siyo GENTAMYCINE labda Bujibuji Simba Nyamaume ndiyo anaweza kuwa na Huruma hiyo ya Kinafiki.
Maziko mema kwa Waliojitakia.