japo ni kitambo kuitumia, ila kifupi ni hivi,
Kama huna bando, kwa laini za voda, tigo, halotel, airtel, unaweza peruzi baashi ya sites mtandaoni bure.
Ila kwa jf nadhani wanaipata wa voda na tigo (current users watarekebisha hapa).
Chakufanya ukiwa na 0 Mb au hauna salio, ni kuwasha data kama kawada, fungua browser yako mfano google chrome, andika
www.freebasics.com, itafunguka kinachofuata utajiongeza humohumo.
Au unaweza download app ya freebasics, na steps zikawa ni kuwasha data, fungua app maisha yanaendelea