Kwa Jobless: Upo wapi mida hii na unafanya nini?

Kwa Jobless: Upo wapi mida hii na unafanya nini?

Free basic inapatikana kwenye tigo, ni mfumo unaokuwezesha kuingia kwenye baadhi ya blog au web bila mb, [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] inaelekea hujui kabisa chama cha Umoja wa free data (UFD) weyee
Still sijaelewa.
 
Nipo geto siku ya 4 nmepata aajali natibu majeraha....

Najiuliza je ningevunjia au kufafa ingekuaje, mama, Kid na Shem wako ingekuaje.......!

Nmepata wazo nkipona ni kudubble struggle, ni save for a new investment.
Pole na Pona haraka mkuu
 
Ila mazee swala la jobless ni tatizooo, niko zangu Tanga kwa sister naskilizia jambo...
 
nipo hapa kwa mjomba nacheck taarifa ya habari nasubiri chakula kikiva nile kisha nikimaliza nitumwe dukani kuchukua pempasi ya mtoto najua kesho akinituma town atanipa nauli ya bajaji shs (500) hiyo nitaibana ntachukua bando kisha nipitie matapeli wa zoom nikisubiri bahati yangu
 
Still sijaelewa.
japo ni kitambo kuitumia, ila kifupi ni hivi,
Kama huna bando, kwa laini za voda, tigo, halotel, airtel, unaweza peruzi baashi ya sites mtandaoni bure.
Ila kwa jf nadhani wanaipata wa voda na tigo (current users watarekebisha hapa).

Chakufanya ukiwa na 0 Mb au hauna salio, ni kuwasha data kama kawada, fungua browser yako mfano google chrome, andika www.freebasics.com, itafunguka kinachofuata utajiongeza humohumo.

Au unaweza download app ya freebasics, na steps zikawa ni kuwasha data, fungua app maisha yanaendelea
 
japo ni kitambo kuitumia, ila kifupi ni hivi,
Kama huna bando, kwa laini za voda, tigo, halotel, airtel, unaweza peruzi baashi ya sites mtandaoni bure.
Ila kwa jf nadhani wanaipata wa voda na tigo (current users watarekebisha hapa).

Chakufanya ukiwa na 0 Mb au hauna salio, ni kuwasha data kama kawada, fungua browser yako mfano google chrome, andika www.freebasics.com, itafunguka kinachofuata utajiongeza humohumo.

Au unaweza download app ya freebasics, na steps zikawa ni kuwasha data, fungua app maisha yanaendelea
au gusa tu hiyo website link hapo kwenye comment ya juu
 
Back
Top Bottom