mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Wote tunaelewa wakati mtu anapokua hana ajira ,hakika huu ni wakati mgumu saana, kokosa kazi ya kufanya.
Kwenu Jobless:
Upo wapi mda huu unaosoma hii thread,unafafanya nn ?
Je ! Kuna lololote unawaza kulianziasha kwa wakati huu.
Fikra yako inawaza nn ?
Shiriki nasi tukusaidie.
Kwenu Jobless:
Upo wapi mda huu unaosoma hii thread,unafafanya nn ?
Je ! Kuna lololote unawaza kulianziasha kwa wakati huu.
Fikra yako inawaza nn ?
Shiriki nasi tukusaidie.