Kwa Jobless: Upo wapi mida hii na unafanya nini?

Kwa Jobless: Upo wapi mida hii na unafanya nini?

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,062
Reaction score
3,280
Wote tunaelewa wakati mtu anapokua hana ajira ,hakika huu ni wakati mgumu saana, kokosa kazi ya kufanya.

Kwenu Jobless:
Upo wapi mda huu unaosoma hii thread,unafafanya nn ?
Je ! Kuna lololote unawaza kulianziasha kwa wakati huu.
Fikra yako inawaza nn ?

Shiriki nasi tukusaidie.
 
Wote tunaelewa wakati mtu anapokua hana ajira ,hakika huu ni wakati mgumu saana, kokosa kazi ya kufanya.

Kwenu Jobless:
Upo wapi mda huu unaosoma hii thread,unafafanya nn ?
Je ! Kuna lololote unawaza kulianziasha kwa wakati huu.
Fikra yako inawaza nn ?

Shiriki nasi tukusaidie.
nipo zangu ofisini nimejawa stress mbayaaaa
 
Back
Top Bottom