Mirhea
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 815
- 1,380
Hahaa naona unachangamkia fursa.Embu nieleze hili freebasics.. how. ? .
Hahaa naona unachangamkia fursa.Embu nieleze hili freebasics.. how. ? .
Hahahahaaanipo hapa playmaster betting naangalia watu wanavokula na kuliwa nikitoka hapa naenda barabarani kuangalia eicher zikipiga honi
NdioFree basic!??
UnawasemeaHahaa. Jf majobless watoke wapi ww? Huku kila mtu ana mishe zake za maana kibao tuu.
Nmepigwa kipigo cha mbwa kokoUmeshakula pips ngapi paka now mkuu
Pole sana mkuu,zingatia risk managementNmepigwa kipigo cha mbwa koko
Kabisa mkuu itabid nizangatie maana geto kunakuwa kama jehanamuPole sana mkuu,zingatia risk management
Tupo pamoja huku nikipotezea tym kwenye game na jfNipo kwa shemeji hapa nasubiri ugali uive huku naperuz jf kwa freebasics,no bundle
Kuunguza inauma sanaKabisa mkuu itabid nizangatie maana geto kunakuwa kama jehanamu