THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Yani isiaminike kwa sababu tu Mbowe anatakiwa akapimwe???????
Usiwe punguani! Kwa watu makini katika kazi zao wanapotaka kupata matokeo sahihi hupeleka samples katika maabara tofauti ili kulinganisha matokeo! Katika kazi za maabara kuna makosa mengi sana ya kibinadamu hutokea!Porojo za UKAWA science is a Science ikionesha kuwa Damu au Mkojo wa Mbowe una Heroine sidhani kama Mkemia mkuu wa Kenya atakua na kipimo kitakachopima tofauti.
Hiinayo yakuifikiria sana sana maana yawezwa kugeuzwa ndivyo sivyo na ndio maana operation ikauhusisha mateja halisi ili kupata sample zao za mkojo na kuja kuwabambikia watu wengine"Inawezekana ikapimwa sampuli ya TID iliyobandikwa jina la Mbowe, na majibu yakatangazwa kuwa ni ya Mbowe. Hivyo ndivyo inavyoweza kufanyika IKIWA kuna maagizo kutoka juu. Kwani kuna mtu anasimamia mchakato wa kuhakikisha kuwa kweli sampuli iliyochukuliwa toka kwa mtuhumiwa ndiyo iliyopimwa, au kama imepimwa kwa usahihi na majibu sahihi ndiyo yaliyotangazwa kuhusu mtuhumiwa huyo? Hapa namaanisha mtu ambaye ana maslahi na mtuhumiwa, mtu ambaye katika hali ya kawaida hawezi ku-conspire au hata kutishwa na wale waishio "juu"!!
Nina hakika unaelewa kuwa ukweli ni mpana zaidi kuliko hicho ulichoongea.
Kwanini walioshutumiwa hawajakata rufaa kuwa sample zao zipelekwe sehemu nyingine wewe ndo unaonekana siyo Great thinker kwa kujaribu hata kuingilia elimu usiyokua Nayo na vipimo vya kisayansi.
Mungu akulinde sana .Inawezekana ikapimwa sampuli ya TID iliyobandikwa jina la Mbowe, na majibu yakatangazwa kuwa ni ya Mbowe. Hivyo ndivyo inavyoweza kufanyika IKIWA kuna maagizo kutoka juu. Kwani kuna mtu anasimamia mchakato wa kuhakikisha kuwa kweli sampuli iliyochukuliwa toka kwa mtuhumiwa ndiyo iliyopimwa, au kama imepimwa kwa usahihi na majibu sahihi ndiyo yaliyotangazwa kuhusu mtuhumiwa huyo? Hapa namaanisha mtu ambaye ana maslahi na mtuhumiwa, mtu ambaye katika hali ya kawaida hawezi ku-conspire au hata kutishwa na wale waishio "juu"!!
Nina hakika unaelewa kuwa ukweli ni mpana zaidi kuliko hicho ulichoongea.
Dawa ya moto ni moto .Hili kweli na haswa madereva huyo ndio atakuja kujuta. Maana ataangukiwa na kesi za kutosha hadi atajuta
Hayo umeweka wewe mjomba .Yani isiaminike kwa sababu tu Mbowe anatakiwa akapimwe???????
Wakuu natanguliza salamu.
JF ndio sehemu pekee wanapokutana wale wanaofikiria "NJE YA BOX" Sasa naomba kufahamu imani yenu kwa Taasisi hii ambayo inatumika kubaini wanaotumia Madawa ya kulevya .
Je haiwezi kupokea " MAAGIZO KUTOKA JUU " ?
Hajui lolote kuhusu vipimo vya maabara huyo.Usiwe punguani! Kwa watu makini katika kazi zao wanapotaka kupata matokeo sahihi hupeleka samples katika maabara tofauti ili kulinganisha matokeo! Katika kazi za maabara kuna makosa mengi sana ya kibinadamu hutokea!
So Laboratory comparison is necessary!
Hili kweli na haswa madereva huyo ndio atakuja kujuta. Maana ataangukiwa na kesi za kutosha hadi atajuta
Imani yetu imani yako ? na hiyo imani imekuja baada ya M/kiti wako kuwa kona na ngada ? acha ujinga mwambie akapimwe tu hamna namna kama mtumiaji tutamsaidia kumpeleka Sober.Wakuu natanguliza salamu.
JF ndio sehemu pekee wanapokutana wale wanaofikiria "NJE YA BOX" Sasa naomba kufahamu imani yenu kwa Taasisi hii ambayo inatumika kubaini wanaotumia Madawa ya kulevya .
Je haiwezi kupokea " MAAGIZO KUTOKA JUU " ?
NenoWakuu natanguliza salamu.
JF ndio sehemu pekee wanapokutana wale wanaofikiria "NJE YA BOX" Sasa naomba kufahamu imani yenu kwa Taasisi hii ambayo inatumika kubaini wanaotumia Madawa ya kulevya .
Je haiwezi kupokea " MAAGIZO KUTOKA JUU " ?
Kwa kawaida hapa kuna. masuala mawili kwanza kuhojiwa pili kutolewa sample za mkojo au damu .Kwa hiyo mtu anapoenda kutolewa sample inabidi zichukuliwe sample mbili mbili yaani mkojo sample 2 na damu sample. 2 . Hakuna tofauti na wale wanariadha ambao wanatumia madawa ya kuongeza nguvu .Inabidi zichukuliwe sample 2 na moja inahifadhiwa na nyingine ndio inapimwa ,Hii inatokana na sababu kama mtumiaji hajaridhika na majibu ya mkemia mkuu ndio inatolewa ile sample ya pili kupimwa na maabara tofauti.Sijui kama ukienda kwa mkemia mkuu leo utakuta sample ya pili ya Manji.Lakini kama mtu alepimwa ameridhika na majibu hakuna tatizoPorojo za UKAWA science is a Science ikionesha kuwa Damu au Mkojo wa Mbowe una Heroine sidhani kama Mkemia mkuu wa Kenya atakua na kipimo kitakachopima tofauti.
Wengi wao hawakuhitaji mkemia wanajulikana wanatumia gharama za bure na muda umetumika.Kwanini walioshutumiwa hawajakata rufaa kuwa sample zao zipelekwe sehemu nyingine wewe ndo unaonekana siyo Great thinker kwa kujaribu hata kuingilia elimu usiyokua Nayo na vipimo vya kisayansi.
Wakuu natanguliza salamu.
JF ndio sehemu pekee wanapokutana wale wanaofikiria "NJE YA BOX" Sasa naomba kufahamu imani yenu kwa Taasisi hii ambayo inatumika kubaini wanaotumia Madawa ya kulevya .
Je haiwezi kupokea " MAAGIZO KUTOKA JUU " ?
Upo very correct Mkuu..Wakuu natanguliza salamu.
JF ndio sehemu pekee wanapokutana wale wanaofikiria "NJE YA BOX" Sasa naomba kufahamu imani yenu kwa Taasisi hii ambayo inatumika kubaini wanaotumia Madawa ya kulevya .
Je haiwezi kupokea " MAAGIZO KUTOKA JUU " ?
Nilipima malaria Muhimbili majibu yakaonesha sina nikaenda dispensary uswazi majibu yakaonesha nina malaria!Aache upunguani,kukariri na kuamini kirahisi rahisiUsiwe punguani! Kwa watu makini katika kazi zao wanapotaka kupata matokeo sahihi hupeleka samples katika maabara tofauti ili kulinganisha matokeo! Katika kazi za maabara kuna makosa mengi sana ya kibinadamu hutokea!
So Laboratory comparison is necessary!