Ni kweli mjita wasu!Msiwe na wasiwasi waungwana na tuziamini mahakama zetu tu na zinatenda haki. Otherwise, ushahidi wa Daktari kuhusu vipimo uwa ni kama OPINION tu na Judge au Hakimu hafungwi na vipimo vya Daktari. Kinachomtia mtu hatiani ni DIRECT EVIDENCE ila wa Kitabibu is Just a mere opinion.