Unajua withdrawal time ya hayo madawa?Porojo za UKAWA science is a Science ikionesha kuwa Damu au Mkojo wa Mbowe una Heroine sidhani kama Mkemia mkuu wa Kenya atakua na kipimo kitakachopima tofauti.
Kama wakifanya kwa kufuata maelekezo wanakuwa wamechemsha. Credibility ya hizo results ni rahisi kuziquestion mahakamani. Hivyo kama mahakama ikiamua kupima kupitia independent lab, wataaibika.Wakuu natanguliza salamu.
JF ndio sehemu pekee wanapokutana wale wanaofikiria "NJE YA BOX" Sasa naomba kufahamu imani yenu kwa Taasisi hii ambayo inatumika kubaini wanaotumia Madawa ya kulevya .
Je haiwezi kupokea " MAAGIZO KUTOKA JUU " ?
Some of Analgesics are made from them,That's y some of them can lead to drug addicts Eg Morphine...!Thats y huwezi kupewa mpaka kwa ridhaa ya Daktari.navyosikia watu wanaotumia dawa za kutuliza maumivu ukipimwa utakuta vimelea vya dawa za kulevya
Sayansi ya siasa unaijua ?Kwanini walioshutumiwa hawajakata rufaa kuwa sample zao zipelekwe sehemu nyingine wewe ndo unaonekana siyo Great thinker kwa kujaribu hata kuingilia elimu usiyokua Nayo na vipimo vya kisayansi.
Karibu sana mkuu .Dah nilikua sijawaza hii point mkuu.
Kwanza Elewa Hoja inasemaje ndio uchangie usikurupuke mtoa mada hajazungumzia results za vipimo amezungumzia ofisi ya mkemia.Porojo za UKAWA science is a Science ikionesha kuwa Damu au Mkojo wa Mbowe una Heroine sidhani kama Mkemia mkuu wa Kenya atakua na kipimo kitakachopima tofauti.
Mkuu kila mtu hupokea naagizo kutoka juu. Wewe hapo umeagizwa kuhoji iadilifu wa serkali umesahau kuwa serkali ina viongozi wa kuchaguliwaWakuu natanguliza salamu.
JF ndio sehemu pekee wanapokutana wale wanaofikiria "NJE YA BOX" Sasa naomba kufahamu imani yenu kwa Taasisi hii ambayo inatumika kubaini wanaotumia Madawa ya kulevya .
Je haiwezi kupokea " MAAGIZO KUTOKA JUU " ?
Wakuu natanguliza salamu.
JF ndio sehemu pekee wanapokutana wale wanaofikiria "NJE YA BOX" Sasa naomba kufahamu imani yenu kwa Taasisi hii ambayo inatumika kubaini wanaotumia Madawa ya kulevya .
Je haiwezi kupokea " MAAGIZO KUTOKA JUU " ?
ata Ganja pia ina chemical properties?Wakimataifa kila kilevi au dawa ina "chemical properties" zake.
Uchambuzi ukifanyika zitajulikana ni nini na za lini.
Kwa hiyo hapo hakuna shaka ukitumia chemical properties.
HApo juu nimeeleza habari za ngano ya Bakheresa; naleta nyingine. MWaka 1992 Mkemia mkuu wa serikali alipima NGANO ya Mohamed Enterprises na ikaonekana haifai kwa matumizi ya binadamu (hu ulikua UNGA kabisa kwenye magodauni yake) but chini ya mwezi mmoja mkemia mkuu akiwa kabadirishwa nae akapima but majibu yakaja tofauti. Tunaposema tunazo doubt we mean it cause tunazo kumbukumbu. Usibishe tu kwasababu you have freedom to speak, bisha kwasababu unazo facts.Ofisi ya Mkemia Mkuu ipo siku na hata sasa ipo. Kwanini wasiwasi uwepo pale inapohaminika yule kiongoI mkuu anaweza kupelekwa huko?