Hii ni kwa kutuona je?
1. Kadhia ya mbunge Jerry Silaa ambapo yeye akiwa Mbunge na bila kushawishiwa na mtu anaona wabunge akiwamo yeye hawalipi kodi stahiki.
2. Wananchi tunajua zipo njia nyingi ambazo watu wasiokuwa na uzalendo huzitumia kukwepa kulipa kodi.
3. Hukumu ya bunge kwa mbunge Silaa ni kumlazimisha aamini kuwa analipa kodi stahiki wakati dhamira yake ikimsuta.
4. Bunge hili hili linalotumia nguvu kumlazimisha mbunge kuamini kiimani kuwa analipa kodi, ndilo linalotuongezea sisi mzigo wa malipo ya kodi na tozo.
Hivi bunge hili linategemea kuaminiwa na nani?
"Mnapojitathimini, ni heri tozo za kwenye miamala mkazitoa kabisa."
Si mbaya wakajua hatutakaa tuzikubali.
1. Kadhia ya mbunge Jerry Silaa ambapo yeye akiwa Mbunge na bila kushawishiwa na mtu anaona wabunge akiwamo yeye hawalipi kodi stahiki.
2. Wananchi tunajua zipo njia nyingi ambazo watu wasiokuwa na uzalendo huzitumia kukwepa kulipa kodi.
3. Hukumu ya bunge kwa mbunge Silaa ni kumlazimisha aamini kuwa analipa kodi stahiki wakati dhamira yake ikimsuta.
4. Bunge hili hili linalotumia nguvu kumlazimisha mbunge kuamini kiimani kuwa analipa kodi, ndilo linalotuongezea sisi mzigo wa malipo ya kodi na tozo.
Hivi bunge hili linategemea kuaminiwa na nani?
"Mnapojitathimini, ni heri tozo za kwenye miamala mkazitoa kabisa."
Si mbaya wakajua hatutakaa tuzikubali.