Nyakyegi Wazigizigi
Member
- Jun 8, 2021
- 31
- 43
Ndugai na Naibu wake wanataka kumaanisha kuwa CAG mstaafu hajui anachokizungumza au vipi?
Kama wanalipwa kodi si waje hadharani watoe mchakato mzima wa kodi.
Kitu ninachojiuliza hivi Wabunge wote hakuna ambaye anaweza sacrifice payslip yake akaiweka hapa walau kwa kuondoka jina lake Zitto, MBOWE au @ Slaa? Wote hawa ni members hapa.
Nakuunga mkono kwa 100%. Wabunge wazalendo, watuambie/watuongezee ukweli wa jambo hii. CAG mstaafu hawezi sema uongo.