Kwa Hiyo Serikali /DCI na Mahakama, mmeamua kuwaambia Watanzania kuwa Dada wa Msuya alijichinja mwenyewe?

Huo ukoo ushaingia dosari kubwaa, kisasi kitaenda karne na karne

Huyo mtoto wa Aneth atakua! mziki utaanza tena hivi ni wakiume😂
Anaweza kuwa kweli kauawa , lakini aliyemuua ni huyu mnayemdhania, kwanini ?
 
Anaweza kuwa kweli kauawa , lakini aliyemuua ni huyu mnayemdhania, kwanini ?

Ndio maana tunataka mamlaka zilizowekwa zenye jukumu la kukinda watu na mali zao wawajibike.
Watuambie walofanya hayo mauaji.
Hivi kweli mtu auwawe Tena nyumbani kwake halafu ibaki kuwa asijulikane alofanya mauaji wakati tuna vyombo vya doła vya kikatiba vya kulinda maisha yake na mali?
 
Ndio maana tunataka mamlaka zilizowekwa zenye jukumu la kukinda watu na mali zao wawajibike.
Watuambie walofanya hayo mauaji.
Hivi kweli mtu auwawe Tena nyumbani kwake halafu ibaki kuwa asijulikane alofanya mauaji wakati tuna vyombo vya doła vya kikatiba vya kulinda maisha yake na mali?
Hivyo vyombo vinapaswa kutumia utaalam wa Hali ya juu kuntambua mtu aliyetenda hilo kosa.
 
Kuna siri kubwa sana tangu kifo cha Bilionea msuya hadi dada yake.

Kuna hati ya Kiwanja kilicho Arusha kilikuwa cha Bilionea msuya, ila hati ya Kiwanja hicho marehemu Bilionea msuya alikuwa ameiweka Kwa dada yake Aneth Msuya.

Baada ya kifo cha Bilionea msuya, mke akataka kukiuza hicho Kiwanja , akashindwa Kwa sababu hati Iko Kwa Aneth Msuya, Dar, issue ikawa Aneth Msuya afanyiwe aliyofanyiwa ili hati ipatikane na Kiwanja kiondoke .

Wiki ijayo nitakusimulia zaidi ila Kwa Sasa simamia hapa
Hii haiwezi kuwa sababu. Yaani ishindikane kutengeneza hati nyingine?

Kama ilikuwa ni mali ya mumewe ilikuwa inatolewa tangazo la upotevu wa hati, then ikatolewa certified copy maisha yakaendelea.
 
Back
Top Bottom