Faka25
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 1,985
- 1,423
Naunga HojaWe unajua viongoz wetu hawa wajui wazungu jinsi walivyo Sisi watu wa hari ya chini ndiyo tunazijua tabia za wazungu, wachina waarabu na wa Hindi kwasababu tunaishi nao kwa ukaribu Sanaa kwaiyo tunawajua tabia zao na jinsi wanavyo tuwaza akilini mwao na wanavyo tuchukulia wa Africa. Sasa hawa viongoz wetu hawa wajui watu weupe kiundani kwasababu hawaja wai kufanya nao kazi ujanani mwao wala kuishi nao mfano Mwinguru, Mama Samia kaanza kuwanao karibu wazungu ukubwani tena kazini tofauti masikin ambaye kaajiriwa na mzungu kama housegirl, shamba boy, mlinzi kwaiyo vijana kama awa lazima watakuwa wanajua tabia zao mfano wanaofanya kaz na wachina wanawajua wachina tabia zao za wizi tena wa vitu vidogo tena wachina wana njaa Sana Sasa mama Samia akienda China akiona magorofa anajua wachina Wana Manisha mazur siyo wezi watamsaidia nchi ipige atua kitu ambacho hakipo na hakita kuwepo, kwaiyo mkuu nakwambia watu weupe Wana tudharau Sana watu weusi Wana amini hatujui chochote na hawasikilizi ushauri wowote ule ukitaka ujue we kafanye nao kazi ambayo itakufanya uwepo nao masaa mengi au kafanye kazi kwenye familia zao ata Choo cha familia hurusiiwi kutumia .
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
