Hawa ndio wanaofadhili chaguzi feki. Lazima waheshimiwe.Alikuja mke wa Bush Zanzibar, basi mawasiliano ya simu yakawa yanapotea, njia zilifungwa watu wasipite. Sometimes unaweza kuona kwanini waliweza kututawala kirahisi
Hawa ndio wanaofadhili chaguzi feki. Lazima waheshimiwe.Alikuja mke wa Bush Zanzibar, basi mawasiliano ya simu yakawa yanapotea, njia zilifungwa watu wasipite. Sometimes unaweza kuona kwanini waliweza kututawala kirahisi
Mwacheni Mama afanye kazi kwa utulivu. Jo biden amesafiriKwa mfano Bideni akija Tanzania kupumzika Serengeti ana weza hasikutane na Mama Samia ?
Labda kwa enzi za Chuma ingewezekana tena angekutana na Kabudi 🐒Kwa hiyo Biden anaweza kuja Tz akakutana na Mhe. Phillip Mpango...kisha na wamarekani waishio nchini ikawa imeisha???
Unataka siku ya Muungano Raise wetu kipenzi hayupo nchini?! Duh...it can't be trueWiki? Ni wiki mbili
Na Mange kimambi🤣Tanzania haina political stability kama Kenya ndio maana unaona Uhuru Kenyatta alipokelewa na Biden wakati mama alipokewa na diaspora!
Rais hajaenda Marekani kwa ziara ya kiserikali (official state visit), ameenda kwa shughuli tofauti ambayo haihusiani kukutana na RaisRais wetu anakaribia kufunga wiki nchini mwao lakini mwenyeji wake ambaye ndiye mkuu wa nchi hajakutana na mgeni wake(Mh. Rais wetu)
Hii ni dharau...ifike mahali tuwe masikini jeuri, hivi Mh. Biden angefanya ziara nchini Tanzania, kweli Mhe. Rais wetu angekuwa bize na mambo mengine na kuicha hiyo shughuli kwa waandamizi wake???
Ifike mahali wizara ya mambo ya nje wajitafakari pia katika hili.
Hili la uchafu wa awamu ya 5 halifutiki. Utekaji, uuaji, wizi wa kura, kubambika wapinzani kesi, ufisadi...itachukua muda kuirudisha sifa ya utawala bora.Acha kubwabwaja,Magufuli ndo amemzuia Baiden asimpokee Rais Samia?mbona waziri mkuu wa UK alifanya ziara Tanzania baada ya kifo Cha Magufuli,siyo kila kitu mmbebeshe Magufuli,nyie endeleeni kuhubiri kula kwa urefu wa kamba na kulamba asali mnafikiri hao mabeberu ni wenzenu
Usidanganyike kuhusu ziara ya kikazi marekani, alialikwa na kugharimiwa kwenye uzinduzi wa royal tour na kampuni husika. Sio mgeni wa serikali. Kuonana na makamu wa raisi ni fadhira tu.Rais wetu anakaribia kufunga wiki nchini mwao lakini mwenyeji wake ambaye ndiye mkuu wa nchi hajakutana na mgeni wake(Mh. Rais wetu)
Hii ni dharau...ifike mahali tuwe masikini jeuri, hivi Mh. Biden angefanya ziara nchini Tanzania, kweli Mhe. Rais wetu angekuwa bize na mambo mengine na kuicha hiyo shughuli kwa waandamizi wake???
Ifike mahali wizara ya mambo ya nje wajitafakari pia katika hili.
Utasubir san juu ya huo ulinganifu unaoutaka!! Mkubwa atabaki kua mkubwa tuu, refer preparations akitaka kuja rais wa marekani hapa kwetu, na preparations akitaka kuja Rais wa Malawi!!! Kuna mamb hayahitaji kukaza fuvu mzee!Katika kuheshimu utu na thamani ya raia wa nchi fulani,hakuna nchi ndogo wa kubwa...Rais wa Gambia akija Tanzania anapaswa kupewa heshima ile ile ya Raisi wa Russia akija Tanzania...hatumheshimu Raisi kwa maana ya mtu...ila thamani ya taifa na watu wake
Alikuwa bado hajawa Rais madiba wakati anatoa talaka ndio maana 1994 alipoapishwa alikuwa na mwanae mkubwa wa kike kama First LadyMtoa mada acha unafiki, tafuta hela mkuu utakufa kwa kihiro kisicho na faida, urais ni taasisi na ina Washauri na wanajua nini wanakifanya, wewe unajua kuwa president Madiba (rip)aliishi pale Arusha for more than a week baada ya divorce na mama Nomzamo?
Ujinga ujinga tu,ndivyo mnavyopenda kuteteana ujinga wenuHiyo sio ziara rasmi
Hakuna tasisi hapo ni kuangalia maslai yao na kulipana poshoMtoa mada acha unafiki, tafuta hela mkuu utakufa kwa kihiro kisicho na faida, urais ni taasisi na ina Washauri na wanajua nini wanakifanya, wewe unajua kuwa president Madiba (rip)aliishi pale Arusha for more than a week baada ya divorce na mama Nomzamo?
Yani unaongea point mwenyewe alafu unaonge ujinga mwenyewe,ivi usipo mtaja Magu huwezi kupata choo?.Ni hivyo sio? Rais wa nchi uingie kwenye nchi nyingine mwenyeji wako asikutambue?
Bado Kuna uchafu wa siasa za Magufuli alizozifanya haujaondolewa kwenye taswira ya nchi kimataifa
Nchi bado inanuka
Huwa dhambi inaondolewa kwa Toba haitoki yenyewe
Asanteni.
Ingekua sio ziara rasmi Tanzania Biden angeachwa azurure tuHiyo sio ziara rasmi
Ameenda kule kama msanii muigizaji na sio kama raisRais wetu anakaribia kufunga wiki nchini mwao lakini mwenyeji wake ambaye ndiye mkuu wa nchi hajakutana na mgeni wake(Mh. Rais wetu)
Hii ni dharau...ifike mahali tuwe masikini jeuri, hivi Mh. Biden angefanya ziara nchini Tanzania, kweli Mhe. Rais wetu angekuwa bize na mambo mengine na kuicha hiyo shughuli kwa waandamizi wake?
Ifike mahali wizara ya mambo ya nje wajitafakari pia katika hili.
Kwa hiyo Rais wetu aliomba kuonana na Biden akakataliwa kwa sababu ya Marehemu Magufuli?au kwa sababu ulizotoa?Hili la uchafu wa awamu ya 5 halifutiki. Utekaji, uuaji, wizi wa kura, kubambika wapinzani kesi, ufisadi...itachukua muda kuirudisha sifa ya utawala bora.