Hizo ni kazi za idara wala sio waziri au taasisi za kiraisi amejishusha. Hakujifunza kwa Magufuli, sababu hange fanya huo mchezo.Rais wetu anakaribia kufunga wiki nchini mwao lakini mwenyeji wake ambaye ndiye mkuu wa nchi hajakutana na mgeni wake(Mh. Rais wetu)
Hii ni dharau...ifike mahali tuwe masikini jeuri, hivi Mh. Biden angefanya ziara nchini Tanzania, kweli Mhe. Rais wetu angekuwa bize na mambo mengine na kuicha hiyo shughuli kwa waandamizi wake???
Ifike mahali wizara ya mambo ya nje wajitafakari pia katika hili.