MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,650
- 48,415
- Thread starter
- #21
Kaka andaa mada zinazuhusu nchi yako utaendeleza kitu ama kwenye jamii yako au nchi kiujumla.
Najua hutaelewa ushaur wangu ila think about it.
Achana na ya Tanzania kurafuta popularity mtandaoni.
Nakuona mwandishi mzuri jaribu kuandaa makala za ufugaji bora, ukulima wa tija, uvunaji wa maji ya mvua na kuyatumia katika uzalishaji, nk.
Kisha nenda kijijin ulipozaliwa wagawie hizo nakala bure.....Utaacha alama chanya duniani.
Umaarufu upi ninaoutafuta wakati hatufahamiani, huu ni mtandao wa kijamii ambapo kila mmoja anakua na uhuru wa kuwasilisha dukuduku lake ili wadau wajadili na kuwekana sawa, ilmradi usivunje sheria za kimtandao aidha za Kenya au Tanzania au usivunje kanuni za Jamii Forums.