Kwa hili la Segerea, CHADEMA ikiri imekosea

Kwa hili la Segerea, CHADEMA ikiri imekosea

Kuna mtu aniliniambia askari magereza huwa hawacheki na kima usoni wale ukileta nyoko wanakutengua kiuno bila kujali wewe n8 mwenyekiti wa bawacha ama bavicha.

Yani watu wanahifadhi majambazi na watukutu walioshindikana mtaani alafu kina mdee wanapeleka pua zao kule?

Hivi walifikiri ni trafic wale?

Sent using Jamii Forums mobile app
Alipoenda Basha wako Kipolepole wakampokea kwa heshima, na wewe hutii neno, walipoenda wapinzani mashoga wakakumbuka kwamba wanalinda majambazi....
Ndiyo maana tunasema mnaandika uharo mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole pole waliingia ndani Na wanaccm wenza wala hawakupigwa.kilichofanywa Jana Na askari Wa magereza Ni zaidi ya unyama...
Wana CCM walifuata taratibu, shida ya nyie wapinzani ni upunguani wa kudhani kila jambo ni la kufanyia uana harakati. Unajua iwapo kina mdee wangeruhusiwa (mfano tu) then wakaingia na kutoka na mbowe basi wangewadhalilisha sana magereza. Wewe ona tu walivyoingia gerezani wanasema waliweza kuhamasisha uasi (walitumia neno kuwasha moto). Nadhani wajifunze upinzani wa kistaarabu, wa kuheshimiana na kushindana kwa hoja.
 
Eneo la magereza ni eneo lenye ulinzi nyeti sana, eneo ambalo linahifadhi waahalifu wa kila aina ambao kosa dogo linaweza fanya wakatoroka, ndio maana huwa kuna ulinzi mkali unaonekana na usio oneka.

Jana umetokea mtifuano kati ya askari magereza na wafuasi wa chadema, katika hili lawama zote zinaenda kwa wafuasi wa chadema, kulikuwa na haja gani wao kuandamana kwenda gerezani kumchukua kiongozi wao? kwani wangekaa makao makuu kumsubiria kiongozi wao wangepoteza nini?

Viongozi wa chadema wajifunze kuheshimu mamlaka zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kina Pole pole si walifunguliwa kwa vigelegele? Issue ni chama tawala kuwa chama dola.
 
Wana CCM walifuata taratibu, shida ya nyie wapinzani ni upunguani wa kudhani kila jambo ni la kufanyia uana harakati. Unajua iwapo kina mdee wangeruhusiwa (mfano tu) then wakaingia na kutoka na mbowe basi wangewadhalilisha sana magereza. Wewe ona tu walivyoingia gerezani wanasema waliweza kuhamasisha uasi (walitumia neno kuwasha moto). Nadhani wajifunze upinzani wa kistaarabu, wa kuheshimiana na kushindana kwa hoja.
Hao fisi wa kijani hawana hoja, wapinzani watashindana na nani kwa hoja??

Ukiona mtu anatumia maguvu kutawala, badala ya kutumia akili, ujue kaishiwa na hoja.

Ndicho maccm wanachofanya kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao fisi wa kijani hawana hoja, wapinzani watashindana na nani kwa hoja??

Ukiona mtu anatumia maguvu kutawala, badala ya kutumia akili, ujue kaishiwa na hoja.

Ndicho maccm wanachofanya kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ujinga mliopandikizwa na kikubwa hamtofanikiwa kabisa ktk kila mfanyalo maana mbegu zenu zote hazitaota tena na hiyo mimea inazidi kupukutishwa yote ili ziote mbegu zenye kuleta ustawi ktk jamii.
 
Mbona Mandela wananchi walimpokea gerezani. Sema tu mamlaka zimechukizwa Mbowe kuachiliwa.
Acha ujinga,unafananisha upumbavu,ungesoma kwanza sheria za magereza zinasemaje kuhusu mikusanyiko kwenye eneo la magereza,hizi sheria zipo hata kabla Mbowe hajapewa hiyo SACCOSS yake,hakuna aliye juu ya sheria.
 
Ifike mahali CDM wahesshimu anaetawala, wasubiri washike Dola nawao wataenda Magereza na kuingia mpk ndani ya Geti Kama CCM walivyofanya kulikuwa na ulazima gani waende wote Hapo Segerea.. Wangebaki huko huko Makao makuu yao Mbowe angepotea kwani!?? Sasa wanaleta jeuri mbele ya Magereza wakumbuke Basi Hata wale akina mpoki bukuku miaka hiyo walivyochezea kichapo heavy kula ukonga kwa kukaidi tu maagizo!!! Nchi haiendeshwi kisela mno Kama wao wanavyotaka na wakome kufanya comparison Mara oooh mbona akina Polepole waliruhusiwa Ile ni CCM na Ndio Serikali sasa!!


Yule Askari angekata kabisa mkono na sio kuuvunja tu lazima ifike wakati tiheshimiane waache Serikali itimize wajibu wao siku na wao wakishika Dola wanaruhusiwa kabisa kufanya haya wanayofanyiwa na sizani Kama na wao wataendesha nchi kisela Kama wanavyolilia sahv...

Typed Using KIDOLE
 
Kina Pole pole si walifunguliwa kwa vigelegele? Issue ni chama tawala kuwa chama dola.
Hapana, walifuata utaratibu. Msikilize kigilagila utaone walivyokosa adabu. Huwezi kwenda ofisini kwa mtu huku unalazimisha jambo.
 
Chadema mnapotaka kutupeleka siko, utafanyaje mkusanyiko ndani ya eneo la gereza? Mkusanyiko wenu wa kumpokea mwenyekiti wenu ulitakiwa ufanyike nje kabisa ya eneo la gereza. Ndani ya eneo la gereza kuna sheria zake unazotakiwa kuzifuata. Hata Marekani kuna maeneo kwa mfano area 51 mtu yeyote asiyehusika haruhusiwi kupita au kuingia ndani ya eneo na ukiingia unapingwa risasi.
 
Ni kweli kabsa wakina Halima walikiuka hayo masharti ya magereza alafu wanatafuta huruma kwa watu.Kila mahala pana sheria zake.Walitakiwa waheshimu hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mwanzo kuna wananchi walienda kuandamana kuwafuata akina halima?kuna watu waliandamana kumfuata mashinji kuna watu waliandamana kumfuta Msigwa na mashati ya kijani na hawakupigwa.Ivi polepole angekusanya vijna wa Uvccm kumpokea Msigwa na makamera kwa mbwembe na vifijo wangewapiga virungu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eneo la magereza ni eneo lenye ulinzi nyeti sana, eneo ambalo linahifadhi waahalifu wa kila aina ambao kosa dogo linaweza fanya wakatoroka, ndio maana huwa kuna ulinzi mkali unaonekana na usio oneka.

Jana umetokea mtifuano kati ya askari magereza na wafuasi wa chadema, katika hili lawama zote zinaenda kwa wafuasi wa chadema, kulikuwa na haja gani wao kuandamana kwenda gerezani kumchukua kiongozi wao? kwani wangekaa makao makuu kumsubiria kiongozi wao wangepoteza nini?

Viongozi wa chadema wajifunze kuheshimu mamlaka zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app

Chadema wanatafuta cheap popularity and this will cost them dearly
 
Haya yote wanayo fanya, wakumbuke watakuja kufanyiwa.
Wasije wakaja kutia huruma. Watanyea ndoo hizo hizo. Wengine wana makalio makubwa hizo ndoo zitakuwa ndogo.

Mwosha huoshwa, wahanga walisema. Acha wachochee hasira.
 
Hapana, walifuata utaratibu. Msikilize kigilagila utaone walivyokosa adabu. Huwezi kwenda ofisini kwa mtu huku unalazimisha jambo.
Kina Pole pole waliruhusiwa bila masharti. Bashiru alisema ukweli, mnabebwa na dola. Demokrasia hakuna.
 
Acheni upupu wenu na upuuzi, video hii inaonesha huu msafara wa Chakubanga mbona umetokea ndani ya Magereza kama magari hayaruhusiwi kuingia magereza?

Nchi hii inaendeshwa kwa Double standards sana. na inakera mno
Sisiem tuna haki miliki ya nchi hii
Acha ujinga,unafananisha upumbavu,ungesoma kwanza sheria za magereza zinasemaje kuhusu mikusanyiko kwenye eneo la magereza,hizi sheria zipo hata kabla Mbowe hajapewa hiyo SACCOSS yake,hakuna aliye juu ya sheria.
Malizia except polepole na jamaa zake
 
Back
Top Bottom