Kwa hili la Segerea, CHADEMA ikiri imekosea

Kwa hili la Segerea, CHADEMA ikiri imekosea

Mkuu hawa wafuasi wa ccm hawajitambui na wao wapo tayari hata kuuza utu wao kisa kumfurahisha malaika wao
Tukumbushane
Hivi Mashinji alipokelewa wapi alivyotoka gerezaji.
Polepole na mivieiti yake alifuata nn wakati Msigwa anatoka?
Sometimes tuwe wakweli na tusipende kupotosha potosha.
Na kingine tunatakiwa kujua ni, hao viongozi na wafuasi walikuwa eneo gani
1. Nje ya lango la kutokea ( Geti kuu)
2. Ndani ya geti yaani walivuka lango kuu?
Maana watu tumekuwa waimba pambio hata wakati usiotakikana.

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Eneo la magereza ni eneo lenye ulinzi nyeti sana, eneo ambalo linahifadhi waahalifu wa kila aina ambao kosa dogo linaweza fanya wakatoroka, ndio maana huwa kuna ulinzi mkali unaonekana na usio oneka.

Jana umetokea mtifuano kati ya askari magereza na wafuasi wa chadema, katika hili lawama zote zinaenda kwa wafuasi wa chadema, kulikuwa na haja gani wao kuandamana kwenda gerezani kumchukua kiongozi wao? kwani wangekaa makao makuu kumsubiria kiongozi wao wangepoteza nini?

Viongozi wa chadema wajifunze kuheshimu mamlaka zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ccm wakiongozwa na polepole waliruhusiwa kwenda kumpokea mashinji tena wakiwa na msafara mkubwa na gari za ikulu. Pia wakataka kufanya igizo lao la kumpokea msigwa ambali lilishindwa? Au wakiwa ccm eneo haliwi nyeti?
 
Hujitambui wewe kilaza wa lumumba

In God we Trust
Kuna mtu aniliniambia askari magereza huwa hawacheki na kima usoni wale ukileta nyoko wanakutengua kiuno bila kujali wewe n8 mwenyekiti wa bawacha ama bavicha.

Yani watu wanahifadhi majambazi na watukutu walioshindikana mtaani alafu kina mdee wanapeleka pua zao kule?

Hivi walifikiri ni trafic wale?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eneo la magereza ni eneo lenye ulinzi nyeti sana, eneo ambalo linahifadhi waahalifu wa kila aina ambao kosa dogo linaweza fanya wakatoroka, ndio maana huwa kuna ulinzi mkali unaonekana na usio oneka.

Jana umetokea mtifuano kati ya askari magereza na wafuasi wa chadema, katika hili lawama zote zinaenda kwa wafuasi wa chadema, kulikuwa na haja gani wao kuandamana kwenda gerezani kumchukua kiongozi wao? kwani wangekaa makao makuu kumsubiria kiongozi wao wangepoteza nini?

Viongozi wa chadema wajifunze kuheshimu mamlaka zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app

Akitokea mtu asiyejua lolote anaweza kuona umeongea pointi za maana, na kweli una point za msingi lakini zisizobeba uhalisia. Kimsingi hao cdm kupigwa, kudhalilishwa na kunyimwa haki chini ya Magufuli ni jambo la kawaida. Hao cdm tunaona wakidhalilishwa kwenye mikutano yao, wakinyimwa vibali vya mara kwa mara hata mikutano ya ndani. Kwenye chaguzi tunaona wasimamizi wa uchaguzi wakiwafanyia hujuma za wazi, kwenye box la kura tunaona kabisa wakihujumiwa wazi wazi, lakini yote hayo hujawahi kuwaandikia ccm au serikali wakiri kukosea. Kwa hili bandiko lako hitimisho lake ni kiwa ww ni mnafiki na mtetea uovu kama watetea uovu wengine.
 
Hawa wamejiona cake baada ya Marekani kutweet vitu vya kijinga. Waache wavunjwe hadi viuno ndipo watajua nani mwenye mamlaka.
 
Video zipo zinaonyesha mandela akilakiwa nje ya gereza Paarl na hawa matapeli usiwafananishe na Mandela
Umesikia kama Tanzania inafuata sheria za SA? Acha kufananisha vitu vya kipuuzi. Kila nchi ina sheria, taratibu na kanuni zake.
 
Mbona Polepole na genge lake walienda kumchukua mfuasi wao ndani ya gereza na nakamera.

Au kina Polepole hawatakiwi kuheshimu mamlaka?
Eneo la magereza ni eneo lenye ulinzi nyeti sana, eneo ambalo linahifadhi waahalifu wa kila aina ambao kosa dogo linaweza fanya wakatoroka, ndio maana huwa kuna ulinzi mkali unaonekana na usio oneka.

Jana umetokea mtifuano kati ya askari magereza na wafuasi wa chadema, katika hili lawama zote zinaenda kwa wafuasi wa chadema, kulikuwa na haja gani wao kuandamana kwenda gerezani kumchukua kiongozi wao? kwani wangekaa makao makuu kumsubiria kiongozi wao wangepoteza nini?

Viongozi wa chadema wajifunze kuheshimu mamlaka zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania kuna sheria mjomba?Nchi gani hiyo inayoendeshwa bila ya matakwa ya wananchi kama tuna viongozi wa kweli wangetupatia Katiba mpya na tume huru ila wanatumia Dola kujinufaisha wenyewe na kujilimbikizia Mali bila kujali wananchi wanavyopata tabu

Sent using Jamii Forums mobile app
Utawala wowote ambao upo bize kupambana Na watu badala ya maendeleo ni jukumu LA jamii husika kuufutilia mbali Na kuweka utawala utakaopambana Na maendeleo
 
Eneo la magereza ni eneo lenye ulinzi nyeti sana, eneo ambalo linahifadhi waahalifu wa kila aina ambao kosa dogo linaweza fanya wakatoroka, ndio maana huwa kuna ulinzi mkali unaonekana na usio oneka.

Jana umetokea mtifuano kati ya askari magereza na wafuasi wa chadema, katika hili lawama zote zinaenda kwa wafuasi wa chadema, kulikuwa na haja gani wao kuandamana kwenda gerezani kumchukua kiongozi wao? kwani wangekaa makao makuu kumsubiria kiongozi wao wangepoteza nini?

Viongozi wa chadema wajifunze kuheshimu mamlaka zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app

Your problem is that you don't think out of the Box...!!!
Kulikuwa na kosa gani Wanachadema kwenda kumpokea Mhe.Mbowe? Mbona juzi baada ya Magufuli kudai kamlipia Mhe.Msigwa Wana CCM wakiongozwa na Polepole waliandamana kwenda kumpokea Mhe.Msigwa na HATUKUONA WAKIPIGWA NA POLISI? It's a government of double standards....!!!
 
Back
Top Bottom