Kwa hili la Segerea, CHADEMA ikiri imekosea

Kwa hili la Segerea, CHADEMA ikiri imekosea

Kina Pole pole waliruhusiwa bila masharti. Bashiru alisema ukweli, mnabebwa na dola. Demokrasia hakuna.
Matatizo yenu ni kuwa mna asili ya ubishi na kutokuelewa na ndiyo maana vipigo ndiyo haki yenu. Na lazima mnyooke tu!
 
Matatizo yenu ni kuwa mna asili ya ubishi na kutokuelewa na ndiyo maana vipigo ndiyo haki yenu. Na lazima mnyooke tu!
Yani Mudawote huwa una mawazo ya kichoko. Sasa ndo umeandika ujinga gani? Mudawote mtu ukiishiwa na hoja unakuja na viroja.🤦🏾‍♂️
 
Ni kweli kabsa wakina Halima walikiuka hayo masharti ya magereza alafu wanatafuta huruma kwa watu.Kila mahala pana sheria zake.Walitakiwa waheshimu hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
And you believe this nonsense?

Eneo la magereza ni eneo lenye ulinzi nyeti sana, eneo ambalo linahifadhi waahalifu wa kila aina ambao kosa dogo linaweza fanya wakatoroka, ndio maana huwa kuna ulinzi mkali unaonekana na usio oneka.[/QUOTE]
 
Mamlaka gani ina uwezo wa kuiamuru ccm kwa jambo lolote lile?kwanini Mudawote unakuwa hutumii akili?
Unashindwa kuelewa kitu gani??? Hivi unaona kikundi chenu kina kauli nzuri kwa vyombo vya ulinzi na usalama????? Ni lini kimekuwa tayari kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama???? Siku zote matusi na kejeli, sasa unategemea nini? Na kwa taarifa yako hivi vyombo mnavyovidharau ndiyo vinawalinda
 
Un
Nashukuru mungu sikupoteza hela yangu kuwachangia hawa wapuuzi. Nyie mliochanga ndio mjue kuwa bora hata ungekula mishkaki na hiyo hela.
Unahela wewe maskini mkubwa? Kwanza ungechanga ungelala njaa
 
Acha kuroppoka, weweulikuwepo
Tukumbushane
Hivi Mashinji alipokelewa wapi alivyotoka gerezaji.
Polepole na mivieiti yake alifuata nn wakati Msigwa anatoka?
Sometimes tuwe wakweli na tusipende kupotosha potosha.
Na kingine tunatakiwa kujua ni, hao viongozi na wafuasi walikuwa eneo gani
1. Nje ya lango la kutokea ( Geti kuu)
2. Ndani ya geti yaani walivuka lango kuu?
Maana watu tumekuwa waimba pambio hata wakati usiotakikana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unashindwa kuelewa kitu gani??? Hivi unaona kikundi chenu kina kauli nzuri kwa vyombo vya ulinzi na usalama????? Ni lini kimekuwa tayari kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama???? Siku zote matusi na kejeli, sasa unategemea nini? Na kwa taarifa yako hivi vyombo mnavyovidharau ndiyo vinawalinda
Hata kama wangepiga magoti wasingeruhusiwa kuingia. Kitu gani ambacho huelewi hapa?
 
Hata kama wangepiga magoti wasingeruhusiwa kuingia. Kitu gani ambacho huelewi hapa?
Siyo hivyo tu, nadhani wapinzani wanahitaji kuwa na mkakati wa kukuza mahusiano na vyombo vya ulinzi na usalama kama alivyoweza kutengeneza hiyo mikakati Dr Slaa. Mfano tu mdogo, je wapinzani mpaka sasa walishafanya vetting (kupitia TISS) ya mgombea wa kiti cha urais????
 
Siyo hivyo tu, nadhani wapinzani wanahitaji kuwa na mkakati wa kukuza mahusiano na vyombo vya ulinzi na usalama kama alivyoweza kutengeneza hiyo mikakati Dr Slaa. Mfano tu mdogo, je wapinzani mpaka sasa walishafanya vetting (kupitia TISS) ya mgombea wa kiti cha urais????
Vyombo vya ulinzi na usalama vina haja gani ya kuwa na mahusiano mazuri na upinzani chini ya mfumo huu uliopo pamoja na utawala huu?Sana sana vinajipendekeza na kuwalinda mafisiem kwa gharama zote ili yapandishwe vyeo nk.
 
Eneo la magereza ni eneo lenye ulinzi nyeti sana, eneo ambalo linahifadhi waahalifu wa kila aina ambao kosa dogo linaweza fanya wakatoroka, ndio maana huwa kuna ulinzi mkali unaonekana na usio oneka.

Jana umetokea mtifuano kati ya askari magereza na wafuasi wa chadema, katika hili lawama zote zinaenda kwa wafuasi wa chadema, kulikuwa na haja gani wao kuandamana kwenda gerezani kumchukua kiongozi wao? kwani wangekaa makao makuu kumsubiria kiongozi wao wangepoteza nini?

Viongozi wa chadema wajifunze kuheshimu mamlaka zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Cyo kweli tulishawah Mfata rafik Yetu mmoja segerea baada ya kumlipia fine na alkuwa jumanne tuliingia zaidi ya watu 10
kusema getin hairuhusiw ni uongo wamekosea kuwapga na huku ni kusingizia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Filimbi ilipopigwa CHADEMA waligoma kulala Chini ndiyo maana kipigo kikawafuata
 
Vyombo vya ulinzi na usalama vina haja gani ya kuwa na mahusiano mazuri na upinzani chini ya mfumo huu uliopo pamoja na utawala huu?Sana sana vinajipendekeza na kuwalinda mafisiem kwa gharama zote ili yapandishwe vyeo nk.
With that attitude, msitegemee kutawala.
 
Ifike mahali CDM wahesshimu anaetawala, wasubiri washike Dola nawao wataenda Magereza na kuingia mpk ndani ya Geti Kama CCM walivyofanya kulikuwa na ulazima gani waende wote Hapo Segerea.. Wangebaki huko huko Makao makuu yao Mbowe angepotea kwani!?? Sasa wanaleta jeuri mbele ya Magereza wakumbuke Basi Hata wale akina mpoki bukuku miaka hiyo walivyochezea kichapo heavy kula ukonga kwa kukaidi tu maagizo!!! Nchi haiendeshwi kisela mno Kama wao wanavyotaka na wakome kufanya comparison Mara oooh mbona akina Polepole waliruhusiwa Ile ni CCM na Ndio Serikali sasa!!


Yule Askari angekata kabisa mkono na sio kuuvunja tu lazima ifike wakati tiheshimiane waache Serikali itimize wajibu wao siku na wao wakishika Dola wanaruhusiwa kabisa kufanya haya wanayofanyiwa na sizani Kama na wao wataendesha nchi kisela Kama wanavyolilia sahv...

Typed Using KIDOLE
Angekuwa ni dadako ungeharisha maneno hayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom