Kwa hili, Kigwangalla hufai kuwa hata mbunge

Kwa hili, Kigwangalla hufai kuwa hata mbunge

Pongezi kwa askari kuonesha nidhamu kwa Waziri. Waziri naomba nikukumbushe kuwa hapa mtaani kwetu kuna waziri mstaafu alikuwa kama wewe na sasa hivi tunakulanae karanga na ubuyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anatakiwa amwombe radhi hata aliye mteua, jeshi la usu, na watanzania kwa ujumla
Kwa hili Mh. RAIS anatakiwa akufukuze kazi mara 1 huwezi dhalilisha askari wanyapoli hivi. Unajua sisi Tanzania umaskini wetu siyo bahati mbaya. Umaskini unatokana na viongozi km kigwa. Na hii vetting sijui inafanyika wapi. Msomi professor mkenda katibu mkuu wa wizara ya maliasili pole sana. Kweli kwa akili za huyu Kigwa ndiyo anamuongoza Mkenda ndiyo maana hawawezi kupatana. Waziri huna mamlaka ya kumwadhibu mtu..wewe siyo mkuu wa nidhamu kwenye taasisi. Na unamwadhibu kwenye camera. Inamaana sisi bado tupo enzi za watumwa au. Haya mambo walifanya waarabu kwa babu zetu enzi za watumwa. Eti ulikuwa unaomba urais..aisee. Nimekurate 0/10. Poor you. Ndiyo maana kutwa nzima unashinda unacomment na kupost kwa wasanii. Wewe ni kituko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rule of law has no room for Kigwangala, so sad, it has pained me a lot, what kind of leaders do we have?
Sema kwakua jeshini wanamafunzo ya nidhamu kumuheshimu mkuu hata akitoa boko ufunike kombe tu kwa nidhamu yangu ya mtaani huyo bwana angekula ngwala mbele camera aende ake trend huko anakotrendigi nmechukizwa sana na hii abuse of power

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hapo kakosea.
Adhabu haikupaswa kutolewa hadharani
 
Tatizo vyeo vinaonekana ni deal Afrika! Eti kama unataka cheo ruka kichura!
 
kimsboy,
Kushindwa pushup sio kuwa dhaifu kiuweledi
Nguvu haitumiki siku hizi Bali weledi Na technology.Sio kawadhalilisha bali wao ndio wamekubali kudhalilishwa.
 
Huyu ni mtafututaji kiki,ndio maana anafanya matukio mbele ya camera.
Ni mkiukaji wa utaratibu, kanuni na sheria, lakini kupitia vyombo vya habari anataka aonekane ni mchapa kazi.

Kwa vile ukiukwaji wa sheria, kanuni na taratibu haudhibitiwi, baadhi ya viongozi wamekuwa na vitendo ya udhalilishaji, uonevu na unyanyasaji kwa watendaji walio chini yao kimadaraka.
 
Back
Top Bottom