Hebu iweken na sisi tuione wengine tulikua tunashangilia ubingwa wa bayen MunichView attachment 1380275
Kwa hili Mh. RAIS anatakiwa akufukuze kazi mara 1 huwezi dhalilisha askari wanyapori hivi.
Unajua sisi Tanzania umaskini wetu siyo bahati mbaya. Umaskini unatokana na viongozi kama Kigwangalla. Na hii vetting sijui inafanyika wapi.
Msomi Professor Mkenda katibu mkuu wa Wizara ya maliasili pole sana. Kweli kwa akili za huyu Kigwangalla ndiyo anamuongoza Mkenda ndiyo maana hawawezi kupatana. Waziri huna mamlaka ya kumwadhibu mtu. Wewe siyo Mkuu wa nidhamu kwenye taasisi. Na unamwadhibu kwenye camera. Ina maana sisi bado tupo enzi za watumwa au. Haya mambo walifanya waarabu kwa babu zetu enzi za watumwa.
Eti ulikuwa unaomba urais..aisee. Nimekurate 0/10. Poor you. Ndiyo maana kutwa nzima unashinda unacomment na kupost kwa wasanii. Wewe ni kituko.
Mkuu ww umeiona wapKingwangwala nilijua watu huku online wanambully ila character yake ndio hivyo…???