Kwa mwandiko wako huo, utawezaje kukataa kuwa unatumia cheti feki?
Povu la nini lote hilo..?
Daud Bashite, toa vyeti naaniiii.!!
Kila kona upo, shobo nyingiiiii...au beki tatu wake wewe
Yani bashite anakukuna wewee . hoyeeee
Haahhahaah....umeadimika kama rupia ya mjerumani.
Unajitahidi sana kumkingia kifua DAB, utakuwa mtu wa karibu sana na huyu jamaa.
"Wengi walioko kwenye orodha iliyokabidhiwa na Makonda ni waathirika wanaohitaji msaada wa matibabu na sio kuwafunga, tumepata watuhumiwa 5 tu wa dawa za kulevya" by Kamishna Siang'a 06 March 2017.
Basi mamiiiii, nmekuelewa......mi naona wivu mtt mzur kama ww unamshobokeaaaa daud bashiteeeeeSasa nisiwepo kwanini, mnani quite mara zaidi ya mamia kwa mamia ndio nisiwajibu?
Mkitaka msinisome tena, mngekuwa mnapita post zangu kimya kimya.
Ona sasa nimekujibu utanikuta tena. Na huwa nasoma quotes chache chache kama mfano kama 40 naacha narudia nikiamua kuendelea najibu nachojisikia. So uhuru ni wangu kama upendi ukiona Cocochanel rusha macho mbaliiiiiii
Makonda oyeeeeee
Huo ushahid mbona hautoki, huyo gwajima c anachet cha makonda c aonyeshe na athibitishe kuwa exatly makonda ndie bashite.Kuna watu sasa hv hawapo kazini kwa sababu ya kuwa na vyeti vya kughushi lakini walikuwa ni wachapakazi wazuri Sana.... Sheria ni msumeno sasa unakata kuelekea nyuma
Kwa hiyo anasingiziwa kuwa alitumia cheti cha mtu mwingine siyo?Njoo unikague uvione kwa raha zako, nitasimama juu ya mwembe ukifika niambie.
Pole kwako na kudandia wanaomsingizia Mkuu wa Mkoa wa Dar. Pole kwa kuvutwa kama hamjifahamu na wenzako wengiiiii
Wewe kiumbe hai upo?nakusoma tu wewe naona wengine wote wageni siwajui
Sasa mtu hufahamiani nae kinachokufanya uone tunamsemea uwongo Kitu gani? Umejuaje kama ni uwongo hajatumia jina la mtu?Ulimsaidia kunifahamu mimi au? Nauliza kwasababu sifahamiani naye.
Tabu wananchi nyie wengi mnapenda kudanganywa na kufata maneno ya waongo kama mlivyopatikana juu ya Mh. Makonda na mnazidi kupatikana. Poleni, mnasikitisha.
Basi mamiiiii, nmekuelewa......mi naona wivu mtt mzur kama ww unamshobokeaaaa daud bashiteeeee
Aliowatuhumu wanatumia/kuuza unga nini kimetokea?Lakin hiv akionesha vyet afu vikawa ni vyake kwel ni nin kitatokea