Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,666
Hili suala la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam limefikia mahali pabaya!
Wapo watu wanaoamini kuwa limepoa na litapita, lakini ni kwamba kwa namna ambavyo ukweli unavyozidi kutafutwa ni dhahiri kabisa kuwa mambo makubwa zaidi yatabainika na kuwekwa hadharani!
Naamini mda mfupi ujao lazima atajiuzulu au utatenguliwa na bila shaka sheria itachukua mkondo wake!
Wapo watu wanaoamini kuwa limepoa na litapita, lakini ni kwamba kwa namna ambavyo ukweli unavyozidi kutafutwa ni dhahiri kabisa kuwa mambo makubwa zaidi yatabainika na kuwekwa hadharani!
Naamini mda mfupi ujao lazima atajiuzulu au utatenguliwa na bila shaka sheria itachukua mkondo wake!