Kwa hali hii wengi wanatembea bila kuvaa

Kwa hali hii wengi wanatembea bila kuvaa

Mwanamke akiwa kwenye heat period anataka ute ambao ni kama KY gel, ute huu humrahisishia mwanaume kuingia wakati wa tendo. Ukiwa na kufuli linazuia ute huu bila hivyo unaweza kukuta nguo ina unyevu nyevu

Gaaadddaaameee!!!!!
 
hii kawaida sana zamani kidogo nikiwa mdogomdogo nilikuwa na rafiki yangu wa kike anaweza toka dar dodoma bila chupi kwake kawaida sana na nafikiri humu yumo
 
Jibu ww huwa unavaa au huwa unajisahau?
Kuna kipindi nilinenepa sanaaa hasa maeneo ya kati hapa chupi zikawa zinanibana mno mno.. Zikawa zinaniwasha mule kwenye lastiki za kiuno na kwenye hips kwa ile hali ya kubana sana mpaka zinaacha alama .. Nikawa nawashwa kiunoni na hipsini.. Muda mwingine nipo kazini au kwenye halaiki mara hips au kiuno kinawasha dah unajikunaje sasa. Nilinunua chupi mara kadhaa siku chache zimabanaa

Nilikua muda mwingine nikiwa chumbani kwangu tu sivai au navaa vipensi/ bukta tu au khanga tu ila nikitoka navaa.


But nimeanza kumeintain asee nashukuru Mungu napungua kuwa saizi ya kati.





Mahondaw wa Smart911
 
Kuna kipindi nilinenepa sanaaa hasa maeneo ya kati hapa chupi zikawa zinanibana mno mno.. Zikawa zinaniwasha mule kwenye lastiki za kiuno na kwenye hips kwa ile hali ya kubana sana mpaka zinaacha alama .. Nikawa nawashwa kiunoni na hipsini.. Muda mwingine nipo kazini au kwenye halaiki mara hips au kiuno kinawasha dah unajikunaje sasa. Nilinunua chupi mara kadhaa siku chache zimabanaa

Nilikua muda mwingine nikiwa chumbani kwangu tu sivai au navaa vipensi/ bukta tu au khanga tu ila nikitoka navaa.


But nimeanza kumeintain asee nashukuru Mungu napungua kuwa saizi ya kati.





Mahondaw wa Smart911
mahondaw wangu... Utafanikiwa kupungua kila kitu lakini siyo hizo hips na huko nyuma... You are blessed...

Ndiyo kwanza unazidi kukaa vizuri... Mashallah...
 
mahondaw wangu... Utafanikiwa kupungua kila kitu lakini siyo hizo hips na huko nyuma... You are blessed...

Ndiyo kwanza unazidi kukaa vizuri... Mashallah...
Love!!!!!

[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]

Thank you for your appreciation sweetheart






Mahondaw wa Smart911
 
Linganisha sasa ni Mimi yule yule au mwingine na hiyo Avatar???



4bd6228bfd5f7fe237ca380041189ad3.jpg
Hapa hata ATM ya mshahara natoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom