Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtu mwenye akili timamu unavaa chupi ya nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtu mwenye akili timamu unavaa chupi ya nini?
Huyo mdada kuna kitu kinamic kwenye ubongo wake kwa sababu kama mambo ya msingi kama hayo anasahau ni mangapi ambayo pia ni ya muhimu anayapotezea? Sipati picha mdada aliyelelewa kimaadili anasema amesahau kuvaa chupi!!!!!!! aibu yake na huyo nadhani atakuwa anafanya biashara yetu ile na hasa ukizingatia sasa hivi tupo kwenye kuweka mazingira wezeshi ya biashara.Salaam nyingi
jana wakati nipo kituo cha mabasi walitokea wasichana watatu kimtazamo walikua wakielekea ofisini kila mmoja aliwatupia macho jinsi walivyopendeza na kutembea kwa mbwembwe lakini ghafla walivyofika usawa wangu nikasikia mmoja amepiga yowe si kubwa la watu wote kusikia ila tulio karibu tulimsikia,wenzio wakauliza nini,yeye akajibu haaaa nimesahau kuvaa chupi mmoja akamwambia haa hilo ni la kukufanya kuhamaki rudi ukavae
sasa najiuliza ni wangapi yameshawatokea halafu wapo mbali na home
Duniani kuna mengi
Hata mimi nimewaza hivyo jirani, maana hiyo sauti ilivyotoka eti kisa kufuli [emoji28] nakosa majibuHii sio kamba kweli
hahahahhahahahaUnapenda nipige bao la mkono?!...bao linakuja lenyewe bila hata mkono
Haaaa, mimi nisipovaa chupi siwezi kutoka.
kwanza huwa navaa chupi najiangalia kwenye kioo ilivyonikaa hivyo kusahau ni ngumu
Kapicha please! Nataka nipige bao la mkonouliza tuu upige bao la mkono hahahhahahah
Dah....Kuna madhara mengi ya kuvaa chupi kuliko kutokuvaa hasa kwa wanaume.....Hawaelewi tu umuhimu wa kufuli
Hahaaa. Basi kama tunafanana vile mana mi pia nikishajipaka mafuta lazima nivae halafu ndio niendelee kuvaa nguo nyingine mana chupi kwangu ndio kitu cha kwanza.Haaaa, mimi nisipovaa chupi siwezi kutoka.
kwanza huwa navaa chupi najiangalia kwenye kioo ilivyonikaa hivyo kusahau ni ngumu
Duuuuhmtu mwenye akili timamu unavaa chupi ya nini?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Unaanzaje kuacha asali yako ingie vumbi?Tunza cha kwako bana.Hawa wadada wa siku izi bure kabisa.Natamani wangekuwa na wao wanadindisha ili waone umuhimu wa chupi kwenye sekta hiyo kama hawaoni kwenye kuficha utamu.
Hahaaaa. Mumy kuiga kwao huko hakuna mfano aisee.Usikute wanaiga wadada kwenye Red carpets za Mamntoni!
Hawajui kuna utepe unavaliwa kumsitiri bibi.
Acha uchokoziHivi wadada wengi mnatembea tubeless?!sasa kama umevaa sketi upepo ukipiga kwny kitumbua mnajisikiaje?!
Kuna mdada yupo field hapa ofisini basi anapata shida na a/c na vimini vyake anakaa amebana miguu kama mkojo unataka kutoka usikute havai kufuli nayeye ngoja nimfanyie uchunguzi
Mimi ni mtaalam wa m&e, naomba nikufanyie tathmini[emoji12] [emoji12]ndiyo maana yake
hata demu wangu havai na hatupendimtu mwenye akili timamu unavaa chupi ya nini?