Kwa hali hii wengi wanatembea bila kuvaa

Kwa hali hii wengi wanatembea bila kuvaa

Unaanzaje kuacha asali yako ingie vumbi?Tunza cha kwako bana.Hawa wadada wa siku izi bure kabisa.Natamani wangekuwa na wao wanadindisha ili waone umuhimu wa chupi kwenye sekta hiyo kama hawaoni kwenye kuficha utamu.
 
Mwanamke akiwa kwenye heat period anataka ute ambao ni kama KY gel, ute huu humrahisishia mwanaume kuingia wakati wa tendo. Ukiwa na kufuli linazuia ute huu bila hivyo unaweza kukuta nguo ina unyevu nyevu
wape shule mama

Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
 
Unaanzaje kuacha asali yako ingie vumbi?Tunza cha kwako bana.Hawa wadada wa siku izi bure kabisa.Natamani wangekuwa na wao wanadindisha ili waone umuhimu wa chupi kwenye selta hiyo kama hawaoni kwenye kuficha utamu.
Inaonyesha ni bahati mbaya ndio maana alipiga yowe
 
Salaam nyingi
jana wakati nipo kituo cha mabasi walitokea wasichana watatu kimtazamo walikua wakielekea ofisini kila mmoja aliwatupia macho jinsi walivyopendeza na kutembea kwa mbwembwe lakini ghafla walivyofika usawa wangu nikasikia mmoja amepiga yowe si kubwa la watu wote kusikia ila tulio karibu tulimsikia,wenzio wakauliza nini,yeye akajibu haaaa nimesahau kuvaa chupi mmoja akamwambia haa hilo ni la kukufanya kuhamaki rudi ukavae
sasa najiuliza ni wangapi yameshawatokea halafu wapo mbali na home

Duniani kuna mengi

Ninachojua tu ni kwamba Wanawake wengi wa Dar es Salaam kwa wastani huvaa Chupi ndani tu ya siku 3 au 5 au 7 na zinazobaki Mbunye zao huwa zinaoga sana Vumbi la Jiji huku zikipigwa na Kipupwe cha Indian Ocean. Mwendo mdundo, mbele kwa mbele na kanyaga twende.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom