stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,883
- 4,484
Hivi kwanza unaanzaje kusahau kuvaa chupi??Yan apige yowe hajavaa chupi?
Si angeenda kazini, atavaa kesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwanza unaanzaje kusahau kuvaa chupi??Yan apige yowe hajavaa chupi?
Si angeenda kazini, atavaa kesho
ndio huyo ashasau hivyo
Kwani wanawake wanaheat period don't know if this is true kwa binadamuMwanamke akiwa kwenye heat period anataka ute ambao ni kama KY gel, ute huu humrahisishia mwanaume kuingia wakati wa tendo. Ukiwa na kufuli linazuia ute huu bila hivyo unaweza kukuta nguo ina unyevu nyevu
Jf katika u bora wake.Kwahiyo ukiwa kwny kioo unageuka unatingisha bunyanga kidogo?!
Hulazimishwi kuamini
Asante......nakuelewa sana ujuemtu mwenye akili timamu unavaa chupi ya nini?
Wengine hawavai kwa makusudi
Mmmh! Ya kweli hayo?!ukiniona utakuwa zezeta, utanihonga hadi gari la bosi wako
Sana tu yaanHawaelewi tu umuhimu wa kufuli
Niww kwenye hiyo avatar[emoji13]Mwanamke mwenye Akili timamu na anaejiamini Havai chupi
Kama ww ambavyo huvai sio?Mwanamke mwenye Akili timamu na anaejiamini Havai chupi
NDIYO MPENDWAKama ww ambavyo huvai sio?
HAKIKA MPENDWA MIMI NDIYE NA WALA SIYO MWINGINENiww kwenye hiyo avatar[emoji13]
Kila kitu ni kama kinakua kinapokutokea
Haki zote zimehifadhiwa
Niww kwenye hiyo avatar[emoji13]
Nakuomba PM ninashida kdgoNDIYO MPENDWA