Kwa hali hii wengi wanatembea bila kuvaa

Kwa hali hii wengi wanatembea bila kuvaa

59a18db2f13ebd82be45aaa3f483bf63.jpg
Huyu nae hajavaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam nyingi
Jana wakati nipo kituo cha mabasi walitokea wasichana watatu kimtazamo walikua wakielekea ofisini kila mmoja aliwatupia macho jinsi walivyopendeza na kutembea kwa mbwembwe

Ghafla walivyofika usawa wangu nikasikia mmoja amepiga yowe si kubwa la watu wote kusikia ila tuliokuwa karibu tulimsikia, wenzio wakauliza ''nini''?, yeye akajibu haaaa nimesahau kuvaa chupi mmoja akamwambia haa hilo ni la kukufanya kuhamaki rudi ukavae

Sasa najiuliza ni wangapi yameshawatokea halafu wapo mbali na home

Duniani kuna mengi
Hivi na wewe ni mwanaume?

Ndo maana alitamka akiwa usawa wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke akiwa kwenye heat period anataka ute ambao ni kama KY gel, ute huu humrahisishia mwanaume kuingia wakati wa tendo. Ukiwa na kufuli linazuia ute huu bila hivyo unaweza kukuta nguo ina unyevu nyevu

hahahahahahahahah mazeee tuko makazin ati.................. msiongee haya time hizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom