Kwa hali hii wengi wanatembea bila kuvaa

Kwa hali hii wengi wanatembea bila kuvaa

Linganisha sasa ni Mimi yule yule au mwingine na hiyo Avatar???



4bd6228bfd5f7fe237ca380041189ad3.jpg
[emoji8][emoji8][emoji8]
 
Salaam nyingi
Jana wakati nipo kituo cha mabasi walitokea wasichana watatu kimtazamo walikua wakielekea ofisini kila mmoja aliwatupia macho jinsi walivyopendeza na kutembea kwa mbwembwe

Ghafla walivyofika usawa wangu nikasikia mmoja amepiga yowe si kubwa la watu wote kusikia ila tuliokuwa karibu tulimsikia, wenzio wakauliza ''nini''?, yeye akajibu haaaa nimesahau kuvaa chupi mmoja akamwambia haa hilo ni la kukufanya kuhamaki rudi ukavae

Sasa najiuliza ni wangapi yameshawatokea halafu wapo mbali na home

Duniani kuna mengi
Toa andiko ni wapi imelazimishwa kuvaa chupi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam nyingi
Jana wakati nipo kituo cha mabasi walitokea wasichana watatu kimtazamo walikua wakielekea ofisini kila mmoja aliwatupia macho jinsi walivyopendeza na kutembea kwa mbwembwe

Ghafla walivyofika usawa wangu nikasikia mmoja amepiga yowe si kubwa la watu wote kusikia ila tuliokuwa karibu tulimsikia, wenzio wakauliza ''nini''?, yeye akajibu haaaa nimesahau kuvaa chupi mmoja akamwambia haa hilo ni la kukufanya kuhamaki rudi ukavae

Sasa najiuliza ni wangapi yameshawatokea halafu wapo mbali na home

Duniani kuna mengi

Yaani walisubiri waseme wakiwa karibu na wewe ili usikiye?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom