Kwa China kila goti litapigwa. Do nothing win

Kwa China kila goti litapigwa. Do nothing win

Yes...
Vita gharama mdau, China anaangalia na kuchunguza..
USA Wana papara. Shida 💰
Siku hiyo currency haitatumika duniani mwisho wa ......m
Vita kwa US ni biashara na ina positive impact katika GDP yao ndio maana lazima wapigane kila siku, research utaelewa
 
Vita kwa US ni biashara na ina positive impact katika GDP yao ndio maana lazima wapigane kila siku, research utaelewa
Vita ya Libya iliifanya USA kuslow down katika economic growth,ndio maana GDP ratio yao ilikua ndogo na ya China ilipanda mara 4 zaidi
Ndio maana Obama aliepuka vita na Iran na kusaini nao mkataba wa JCPOA 2015.
Unless hufuatilii habari
Na vita hii itampa ushindi zaidi China kiuchumi.
 
 
🇫🇷Emmanuel Macron, Dec 3-5 2025

🇬🇧Keir Starmer, Jan 28-31 2026

🇺🇸Donald Trump, May 13-15 2026

🇷🇺Vladimir Putin, May 19-20 2026

Leaders of all 4 other permanent members of the UN Security Council come to China within six months.

🇨🇳The world has entered "Beijing Time"!
 
Back
Top Bottom