Kwa China kila goti litapigwa. Do nothing win

Kwa China kila goti litapigwa. Do nothing win

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
8,102
Reaction score
23,699
Kadiri miaka inavyoenda ndivyo umuhimu wa China unazidi kuonekana duniani, Mchina ana soft power moja inayokua kwa kasi sana.

China haihitaji kuanzisha unnecessary wars and conflicts duniani kama Marekani to prove how powerful it is.

Chinese strategy; do nothing and win game theory.

Tangu November 2025 hadi February 2026, takriban viongozi 5 wa Ulaya wamefanya ziara rasmi au za ngazi ya juu kwenda China.

Na hawa ndio waliotajwa zaidi katika taarifa za habari:


1. Felipe VI – Mfalme wa Hispania, November 2025.
  • Alikutana na Xi Jinping na viongozi wengine wa China ili kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na biashara.

2. Emmanuel Macron – Rais wa Ufaransa, Desemba 2025
  • Lengo lilikuwa kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya China na Ufaransa.​

3. Micheál Martin – Waziri Mkuu wa Ireland, January 2026.
  • Hii ilikuwa ziara ya kwanza ya kiongozi wa Ireland nchini China katika miaka 14.​

4. Keir Starmer – Waziri Mkuu wa Uingereza, Januari 2026.
  • Alikutana na Xi Jinping ili kuimarisha mahusiano ya kiuchumi kati ya Uingereza na China. Ilipita miaka 8 tangu Waziri Mkuu wa mwisho wa Uingereza kutembelea China.​

5. Petteri Orpo – Waziri Mkuu wa Finland, Januari 2026.
  • Ililenga ushirikiano wa biashara, teknolojia na mazingira.​

6. Friedrich Merz – Kansela wa Ujerumani, Februari 2026.
  • Ilihusisha mazungumzo kuhusu biashara, teknolojia na siasa za kimataifa.​

Kama hiyo haitoshi mwezi April mzee mzima Trump atatembelea pia China kukutana na Xi Jinping.

Itakuwa ziara ya siku 3 inalenga kudumisha utulivu katika uhusiano wa Marekani na China, ikilenga mazungumzo ya kibiashara.

Kwa sasa Xi ndiye the most powerful person in the world.
 
Gharama sana, imagine katika siku 6 za hii vita Marekani ameshpoteza USD 11 bln. Wakati Mchina hiyo anaitia kwenye R&D anajijenga
Ila siamini kama US hawalitambui hilo 🤔

Kama wanalitambua na China ni mshindani wake kiuchumi cha kujiuliza ni kwanini kakubali potezea kiasi hicho chote na ni kipi anakiwinda🤔
 
Ila siamini kama US hawalitambui hilo 🤔

Kama wanalitambua na China ni mshindani wake kiuchumi cha kujiuliza ni kwanini kakubali potezea kiasi hicho chote na ni kipi anakiwinda🤔
Marekani anachokiwinda ni kulinda ufalme wa U.S dollar ndio maana hapo M.E anahakikisha petrodollar haipoteani

Lakini upande wa pili ni kuilinda U.S MIC bila vita defense contractors wa Marekani watakufa njaa
 
Wee mchina wa Bonyokwa unayajua ya Takadini wa kizungu kuliko yeye mwenyewe??
Mabwakuuu
Hii ni geopolitics muhimu kufahamu ili kujua dunia inaenda wapi na mustakabali wa mahusiano ya kimataifa.

Geopolitics inaathiri foreign policies za nchi, biashara, uchumi na uhusiano kati ya taifa moja na lingine
 
Marekani anachokiwinda ni kulinda ufalme wa U.S dollar ndio maana hapo M.E anahakikisha petrodollar haipoteani

Lakini upande wa pili ni kuilinda U.S MIC bila vita defense contractors wa Marekani watakufa njaa
Kabisa lkn sasa Waraabu wameshtuka labda wawe Vichwa maji sana. Washaambiwa tatizo ni Base za MAREKAN kwenye Ardhi yao.
 
Hii ni geopolitics muhimu kufahamu ili kujua dunia inaenda wapi na mustakabali wa mahusiano ya kimataifa.

Geopolitics inaathiri foreign policies za nchi, biashara, uchumi na uhusiano kati ya taifa moja na lingine
Uongoo!!
 
Yes...
Vita gharama mdau, China anaangalia na kuchunguza..
USA Wana papara. Shida 💰
Siku hiyo currency haitatumika duniani mwisho wa ......m
Vita ni gharama ndio,lkn hata kama una uchumi dhaifu kiasi Gani ukichokozwa lazima zipigwe TU.
Namaana kusema kwamba China sio taifa chokozi lakini Marekani ni taifa chokozi.
Pamoja na kua china inaonekana inaepuka vita kuepuka gharama lakini siku ikichokozwa itapigana TU.
Lakini Sasa huyu Marekani kubwa jinga yeye hua anaingia TU vitani bila kujali gharama,Sasa bahati mbaya safari hii kaingia choo Cha kike.
Mie nasema hivi Wacha apigwe.
 
Yes...
Vita gharama mdau, China anaangalia na kuchunguza..
USA Wana papara. Shida 💰
Siku hiyo currency haitatumika duniani mwisho wa ......m
Vita ni gharama ndio,lkn hata kama una uchumi dhaifu kiasi Gani ukichokozwa lazima zipigwe TU.
Namaana kusema kwamba China sio taifa chokozi lakini Marekani ni taifa chokozi.
Pamoja na kua china inaonekana inaepuka vita kuepuka gharama lakini siku ikichokozwa itapigana TU.
Lakini Sasa huyu Marekani kubwa jinga yeye hua anaingia TU vitani bila kujali gharama,Sasa bahati mbaya
 
Kabisa lkn sasa Waraabu wameshtuka labda wawe Vichwa maji sana. Washaambiwa tatizo ni Base za MAREKAN kwenye Ardhi yao.
Waliaminishwa kuwa Iran ni adui yao

Hivi karibuni yule bilionea wa Dubai aliandika barua ya wazi kwa Rais wa Marekani akilalamika kuwa Marekani imeingiza Mashariki ya Kati katika vita dhidi ya Iran bila kuzingatia hatari kwa nchi za M.E
 
Lakini Sasa huyu Marekani kubwa jinga yeye hua anaingia TU vitani bila kujali gharama,Sasa bahati mbaya safari hii kaingia choo Cha kike.
Mie nasema hivi Wacha apigwe.
20260310_130951.jpg

Safari hii Marekani na shosti ake wamedandia mtumbwi wa vibwengo
 
Back
Top Bottom