Kwa boss 300,000/= na mafuta 280,000/=

Kwa boss 300,000/= na mafuta 280,000/=

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,827
Reaction score
16,911
Hizo Tata za chanika na ruti mbali mbali mkiziona tata hiyo ndo hesabu

Hii hesabu naiona ni kubwa na kwa maoni yangu ni ya kinyonyaji na hii inafanya dereva alale late aamke mshale
na pia inachangia mwendo kasi sana kwa haya ma TATA
kama mnakumbuka kuna lile lilidondoka juu kwenye fly over
 
Hizo Tata za chanika na ruti mbali mbali mkiziona tata hiyo ndo hesabu

Hii hesabu naiona ni kubwa na kwa maoni yangu ni ya kinyonyaji na hii inafanya dereva alale late aamke mshale
na pia inachangia mwendo kasi sana kwa haya ma TATA
kama mnakumbuka kuna lile lilidondoka juu kwenye fly over
Maboss wanazingua hii, hesabu ni kubwa sana kwa wiki aisee
 
Hizo Tata za chanika na ruti mbali mbali mkiziona tata hiyo ndo hesabu

Hii hesabu naiona ni kubwa na kwa maoni yangu ni ya kinyonyaji na hii inafanya dereva alale late aamke mshale
na pia inachangia mwendo kasi sana kwa haya ma TATA
kama mnakumbuka kuna lile lilidondoka juu kwenye fly over
Jamaa ndio maana wapo rafu sana on road
 
Maboss wanazingua hii, hesabu ni kubwa sana kwa wiki aisee
Mkuu,Tata Ukinunua Mpya ni Milioni 100+So kwa hesabu ya 300k inamaana kwa mwezi ni 9M kwa mwaka 100m net.Ili kwanza ilipe mtaji.So Yes ni kubwa ila sasa Utafanyeje na Umetaka kazi ukapewa kazi.Kwa kweli madereva wa daladala tunapata tabu sana.Serikali itupe Ruzuku,
 
Hizo Tata za chanika na ruti mbali mbali mkiziona tata hiyo ndo hesabu

Hii hesabu naiona ni kubwa na kwa maoni yangu ni ya kinyonyaji na hii inafanya dereva alale late aamke mshale
na pia inachangia mwendo kasi sana kwa haya ma TATA
kama mnakumbuka kuna lile lilidondoka juu kwenye fly over
TATA inauzwa 130mil....ukilipa 60mil unapewa mkstaba 2yrs au 3yrs...kila mwezi unapeleka 2.5m etc...tegemea muda uliochagua...bima...Compressive...Larra....veta mkanda uniform etc....
Hesabu 200k hadi 300k daily....mtaji mafuta umepewa full tank....

Mfano 200k x 25 ni 5mil ....
Week ni serviceinatoka 300k to 500k ...
Safari miaka 3 ndio inakuwa lako full.....

Hapo halijakuzingua gear box ....spring....etc

Ni biashara kama zingine...parefu....pia
Hesabu ikiwa ndefu
 
TATA kwa Dar ni 150000, musoma to mwanza ni 180000, mbeya to sumbawanga ni 220000 hadi 250000, kahama to kasulu ni 220000 hadi 250000, coaster za misiba Dar wastani kila ukitoka inatakiwa kulaza 450000 hadi 500000, malipo yote hapo ni kutoa service ndogondogo na posho ya safari kwa dreva na kondakta wake, bei hubadilika kulingana na msimu miezi dume kama January hadi April maongezi hua yapo, hapo kwa route zote charge ya mizigo na zile excess hazihesabiwi kwa tajiri. Nawasilisha, ngara to mwanza ni 300k hadi 3
 
Back
Top Bottom