Kwa boss 300,000/= na mafuta 280,000/=

Kwa boss 300,000/= na mafuta 280,000/=

TATA kwa Dar ni 150000, musoma to mwanza ni 180000, mbeya to sumbawanga ni 220000 hadi 250000, kahama to kasulu ni 220000 hadi 250000, coaster za misiba Dar wastani kila ukitoka inatakiwa kulaza 450000 hadi 500000, malipo yote hapo ni kutoa service ndogondogo na posho ya safari kwa dreva na kondakta wake, bei hubadilika kulingana na msimu miezi dume kama January hadi April maongezi hua yapo, hapo kwa route zote charge ya mizigo na zile excess hazihesabiwi kwa tajiri. Nawasilisha, ngara to mwanza ni 300k hadi 3
baada ya mda gan inakua yako
 
Mkuu,Tata Ukinunua Mpya ni Milioni 100+So kwa hesabu ya 300k inamaana kwa mwezi ni 9M kwa mwaka 100m net.Ili kwanza ilipe mtaji.So Yes ni kubwa ila sasa Utafanyeje na Umetaka kazi ukapewa kazi.Kwa kweli madereva wa daladala tunapata tabu sana.Serikali itupe Ruzuku,
Hiii walisema tata mpya 100-120
 
Hizo Tata za chanika na ruti mbali mbali mkiziona tata hiyo ndo hesabu

Hii hesabu naiona ni kubwa na kwa maoni yangu ni ya kinyonyaji na hii inafanya dereva alale late aamke mshale
na pia inachangia mwendo kasi sana kwa haya ma TATA
kama mnakumbuka kuna lile lilidondoka juu kwenye fly over
Tata au echa ?
 
Bila kubana hivyo kwenye Hesabu ya Siku, mmiliki unaweza kufa Kwa pressure/kisukari kabla ya wakati wako.

Imagine umechukua Mkopo kununua hiyo gari, na rejesho ni zaidi ya milioni 3 Kila Mwezi

Utaachaje kukaza kwenye hiyo hela ya malengo
 
Bila kubana hivyo kwenye Hesabu ya Siku, mmiliki unaweza kufa Kwa pressure/kisukari kabla ya wakati wako.

Imagine umechukua Mkopo kununua hiyo gari, na rejesho ni zaidi ya milioni 3 Kila Mwezi

Utaachaje kukaza kwenye hiyo hela ya malengo
Hivi hamna wanaonunua wai wenyewe kwa cash
 
Kama TATA hesabu 150K na hiace inakuwa ngapi kwa mji kama Mwanza?
 
Hata kama utanunua Kwa cash, principal ni kuwa mjanja kuangalia payback period ya uwekezaji wako kabla gari halijaanza kusumbua kutokana na depreciation maana as times goes lina depreciate
Na ndo walikua wanasema
Kama usipofanya 300k kwa tajiri
Haifiiki ela ya manunuzi ndani ya mwaka
Na wanasema lengo ni gari iingize ela iliyonunuliwa ndani ya mwaka au miezi 15
Isizidi hapo
Kwa maana kama ni ya mkopo na riba zake hapo hapo

Ila baada ya mwaka hesabu yake inashuka
Yaani nahisi madereva ndo wanapata stress zaidi
 
Hata kama utanunua Kwa cash, principal ni kuwa mjanja kuangalia payback period ya uwekezaji wako kabla gari halijaanza kusumbua kutokana na depreciation maana as times goes lina depreciate
Watu wanasema ni 150k

Sasa hiyo kama ni mpya ndo kwa walivyosema mil 120
Sasa piga hesabu
150*30*12

Ni milion 54 kama kila kitu kitakua costant

Means ni miaka miwili mtu kurudisha ela ya manunuzi
Mwaka wa tatu ndo aanze you pata faida
 
Mimi nikitaka kwenda CHANIKA huwa napenda kupanda yake matata najua njiani halilali, yaan moto chini
 
Mafuta ya Tsh 280,000 ujue ni Lita 94 (Lita Tsh 3,000/=).

Na kama Tata ina consumption ya 1L kwa 7km inamaanisha itaenda km 653.

Izo kilometa nyingi sana kwa siku. Mfano Chanika to Posta ni km 36 tu, kwenda na kurudi (ruti 1) ni average speed ya km 72.

Kwa hiyo kutumia wese la 280,000 inabidi jamaa apige complete ruti 10.
 
Back
Top Bottom