Kwa boss 300,000/= na mafuta 280,000/=

Kwa boss 300,000/= na mafuta 280,000/=

TATA inauzwa 130mil....ukilipa 60mil unapewa mkstaba 2yrs au 3yrs...kila mwezi unapeleka 2.5m etc...tegemea muda uliochagua...bima...Compressive...Larra....veta mkanda uniform etc....
Hesabu 200k hadi 300k daily....mtaji mafuta umepewa full tank....

Mfano 200k x 25 ni 5mil ....
Week ni serviceinatoka 300k to 500k ...
Safari miaka 3 ndio inakuwa lako full.....

Hapo halijakuzingua gear box ....spring....etc

Ni biashara kama zingine...parefu....pia
Hesabu ikiwa ndefu
Uandishi hui ni wa style gani?
 
Mkuu,Tata Ukinunua Mpya ni Milioni 100+So kwa hesabu ya 300k inamaana kwa mwezi ni 9M kwa mwaka 100m net.Ili kwanza ilipe mtaji.So Yes ni kubwa ila sasa Utafanyeje na Umetaka kazi ukapewa kazi.Kwa kweli madereva wa daladala tunapata tabu sana.Serikali itupe Ruzuku,
Serikali inaingiaje hapo mkuu???
 
TATA kwa Dar ni 150000, musoma to mwanza ni 180000, mbeya to sumbawanga ni 220000 hadi 250000, kahama to kasulu ni 220000 hadi 250000, coaster za misiba Dar wastani kila ukitoka inatakiwa kulaza 450000 hadi 500000, malipo yote hapo ni kutoa service ndogondogo na posho ya safari kwa dreva na kondakta wake, bei hubadilika kulingana na msimu miezi dume kama January hadi April maongezi hua yapo, hapo kwa route zote charge ya mizigo na zile excess hazihesabiwi kwa tajiri. Nawasilisha, ngara to mwanza ni 300k hadi 3
Hizi hesabu ni kwa siku?
 
Maboss wanazingua hii, hesabu ni kubwa sana kwa wiki aisee
Derreva na abiria walikua wanapiga stori leo juu ya ile ajali kwamba ile gari iliyomgonga yule askar chanika ilikatika control ya steling
Lakin kwa kuwa huwa zipo kasi hata ikitokea mistake kidogo ni ngumu kuicontrol sabbu huwa zipo speed
Ndo nikauliza hivi kwanini hizi gari zipo speed
Ndo akasema tatizo hesabu
Tukafikia hapo kwenye hizo data
 
Back
Top Bottom