Humu JF tuna baadhi ya watu ni viazi sana!. Mwanzo nimekuuliza wewe umewahi kufika Coco Beach?. Ukisikia tuu vibanda vya machinga, akili yako ilivyo fupi, ukadhani ni vibanda vya bidhaa!. Mmachinga na mbangaizaji aende Coco Beach kufuata nini?!.
Kule nimekuwekea hadi video za biashara inayofanyika Coco Beach, lakini bado unang'ang'ana!.
Hao wabangaizaji wengi wanaokaa uswazi na jioni ndio mida ya kununua vitu baada ya shughuli zake ndio kisha aende Coco beach?!. Aende Coco Beach kununua nini?!. Unadhani Coco Beach ni soko la kununua bidhaa?. Vitu vingine uliza!.
Haya sasa nakusaidia tena kwa mara ya pili, Wasikilize machinga wa Coco Beach utajua ni vibanda vya nini!.
Na kama bandle ni issue huwezi kufungua video, pia utasaidiwa!.
P