Kuzuiwa viroba: Konyagi waanza kufunga virago?

Kuzuiwa viroba: Konyagi waanza kufunga virago?

Kama huo uchumi ulikuwa unakua kwa huku kung'oa roho za vijana wetu kwa viroba, basi ufe na utokomee kabisa!
Hao vijana mbona hukuwahi kuwapigania awali?

Iweje leo uwe na uchungu nao hivyo?
 
Hao vijana mbona hukuwahi kuwapigania awali?

Iweje leo uwe na uchungu nao hivyo?
Sijui hiyo awali ni wakati upi haswa ila jambo hili limekuwa linipigiwa kelele na wadau wengi kila pembe ya nchi kwa muda mrefu sasa.
Hali ya hawa vijana ni mbaya mbaya mbaya. Hawana kabisa nguvu za kiuwezo, kimwili hta za kifkra.
Serikali kuwaondolea vijana viroba imefanya jambo la thamani kubwa kuliko kuwapa pesa.
 
Hiyo ni kutaka kulazimisha waendelee kuuza Viroba ili vijana na taifa la kesho liangamie...haiwezekani lazima watanzania Fujifunze kutofautisha biashara na afya za vijana wetu. Kwa hili waondoke tu!
Kwa hiyo konyagi ya viroba inaathiri afya ila konyagi ya chupa haiathiri?

Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni kutaka kulazimisha waendelee kuuza Viroba ili vijana na taifa la kesho liangamie...haiwezekani lazima watanzania Fujifunze kutofautisha biashara na afya za vijana wetu. Kwa hili waondoke tu!
Bahati mbaya serikali haikukusudia kumfanya Mwananchi asinywe pombe hiyo bali imechukizwa Na vifungashio vyake(nylon)
 
boraaaa hata maana si kwa kutuharibia nguvu kazi ya vijana kwa kiasi hiki
Ivi nyie mnaosema kuharibu nguvu kazi, kwani serikali imezuia viroba sababu ya afya za watu?.

Kwa taarifa yako serikali imezuia viroba sababu ya mazingira, sio nguvu kazi kama unavyosema wewe. Inasemekan plastic za viroba zilikuwa zinachafua mazingira.

Nakushangaa wewe unaejitungia sababu eti serikali imezuia viroba sababu ya kulinda nguvu kazi!!.

Na sio kwamba wamezuia uzalishaji wa viroba, bali wamezuia viroba vya plastic na sasa hivi viroba vitakuwa vinawekwa kwenye chupa.

Halafu unaposema viroba pekee ndio vinaua nguvu kazi ya taifa, Je madhara ya sigara utayaongeleaje?, aina ya pombe zingine kama bia? Mbona zenyewe hazijazuiwa kama ni suala la afya za watumiaji?.

NB: Be a critical thinker
 
Viroba vilisaidia kukuza uchumi, kama tatizo ni vijana kuharibika kwanini vijana hawa wasipewe somo juu ya madhara ya pombe na kuhakikisha mnunuaji ana kitambulisho awe na umri Zaidi ya miaka 21 au zaidi?
Trust me kiroba hakina madhara kama johnwoker au Jack D
 
Viroba vimezuiliwa kwa sab nyingi mojawapo ikiwa uharibifu wa mazingira. Athari ya sigara sio kubwa kama ya viroba. Kama serikali inakurupuka kuokoa vijana kiafya na madhara mengine wacha ikurupuke tu kwani kuna faida.
utakuwa haufikiri vizuri kama unadhani kuzuia viromba umeokoa vijana unapotoka
 
Kwahiyo tatizo lako ni kutofungia viroba pale uliposhauri kwahiyo kufungia sasa ni kosa. Very funny.

Si hivyo. Nasapoti kuvifungia but the damage is already done. Big time!

Nimeelezea ili tuone namna uzembe unavyoligharimu taifa. Had we done it earlier as advised, hizi sentiments zisingekuwepo, no big investments zingefanyika na madhara pia yasingekua kama tunavyoona sasa. And we had know from day one kwamba hii kitu was a time bomb.

Pole kama uliconstrue tofauti.
 
Hiyo ni kutaka kulazimisha waendelee kuuza Viroba ili vijana na taifa la kesho liangamie..

Hivi hili katazo la Viroba ilikuwa ni kutaka kuokoa afya za "vijana na taifa la kesho" au ni kwa sababu zile plastic zinaharibu mazingira? Kwani Kiroba na ule mzigo uliomo kwenye bapa kubwa kuna concentration tofauti?
 
Kama huo uchumi ulikuwa unakua kwa huku kung'oa roho za vijana wetu kwa viroba, basi ufe na utokomee kabisa!
Chief vipi kuhusu sigara unaonaje tukifunga kiwanda.. Maana nayo inamaliza sana nguvu kazi yetu..
 
Kama huo uchumi ulikuwa unakua kwa huku kung'oa roho za vijana wetu kwa viroba, basi ufe na utokomee kabisa!
Chief vipi kuhusu sigara unaonaje tukifunga kiwanda.. Maana nayo inamaliza sana nguvu kazi yetu..
 
Ivi nyie mnaosema kuharibu nguvu kazi, kwani serikali imezuia viroba sababu ya afya za watu?.

Kwa taarifa yako serikali imezuia viroba sababu ya mazingira, sio nguvu kazi kama unavyosema wewe. Inasemekan plastic za viroba zilikuwa zinachafua mazingira.

Nakushangaa wewe unaejitungia sababu eti serikali imezuia viroba sababu ya kulinda nguvu kazi!!.

Na sio kwamba wamezuia uzalishaji wa viroba, bali wamezuia viroba vya plastic na sasa hivi viroba vitakuwa vinawekwa kwenye chupa.

Halafu unaposema viroba pekee ndio vinaua nguvu kazi ya taifa, Je madhara ya sigara utayaongeleaje?, aina ya pombe zingine kama bia? Mbona zenyewe hazijazuiwa kama ni suala la afya za watumiaji?.

NB: Be a critical thinker
hahah serikali iliona ndio ni uharibifu wa mazingira sikatai na mimi nimeona ina haribu nguvu kazi ya vijana sasa kuna shida gani hapo? au hatukuelewana serikali inamtazamo wake na mm huo ndio mtazamo wangu kutokana na yale ninayoyashuhudia huku mtaani kwangu.
 
Back
Top Bottom