Kuzalia Marekani

wewe kweli Nyani
 
Concrete jungle where dreams are made of......
 
Hebu tupe statistics tafadhali...tunataka a scietific research sio kuona watu wawili ama watatu wamefanya hivyo basi unajererolaizi.

Kwa kifupi Nyani Ngabu anaelezea kitu ya ukweli kabisa na wala sio siri maana kuna mmoja nilimshuhudia kwa macho yangu na alifikia nyumba ninayokaa, Haikuchukua muda hata wa wiki 3 akajifungua na baada ya wiki nyingine 5 akasepa zake Bongo... Wapo wengi mnoooo wanaofanya huo mchezo haswa wapopo ndio noma zaidi
 


Hii thread ya kitambo lakini people are still doing it. Niliona news couple of months ago chinese wanafanya the same thing.
 
Reactions: BAK
ilikuwepo tangu zamani tulivyokuwa vipofu..lakini sasa tumeamka kumbe ni utumwa mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…